Skip to main content

MTAZAME SAMAKI MKUBWA AINA YA KAMBALE ALIYEVULIWA NDANI YA MTO RUAHA


Mto Ruaha ni moja ya mito ambayo maji yake
kwa kiasi kikubwa sio masafi
yamechanganyikana na tope, hali hiyo
imesababisha kuwa na mazalio mengi ya
samaki aina ya Kambale, Samaki hao ambao
wanauwezo wa kuishi kwa muda mrefu hata
kama hakuna maji kutokana na kwamba huwa
na uwezo wa kujizika ndani ya tope hata kwa
miezi zaidi ya sita.
Wavuvi wa eneo hilo wamekuwa
wakijishughulisha na uvuvi wa samaki aina
mbalimbali lakini zaidi huvua samaki aina ya
Kambale, Hivi karibuni wamevua Kambale
mkubwa sana na kukili kwamba alikuwa ni
moja ya samaki wakubwa ambaye wamemvua.
Wamesema kwamba walisha wahi kuvua
samaki aina hiyo mkubwa lakini hakufikia
samaki huyo aliyevuliwa hivi karibuni.
"Ni kweli tumekuwa tukivua sana samaki lakini
huyu ni samaki mkubwa sana ambaye
tumemvu" aliongea Mvuvi.
Huyu ni Samaki Mkubwa ambaye alionekana
pembezoni mwa Mto Ruaha Iringa Mara baada
ya Kuvuliwa tayari kwa kuingizwa Sokoni.
Samaki huyo akiwa anaonekana kwa ubavuni.
Picha na Iringa yetu

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...