Skip to main content

MTAZAME SAMAKI MKUBWA AINA YA KAMBALE ALIYEVULIWA NDANI YA MTO RUAHA


Mto Ruaha ni moja ya mito ambayo maji yake
kwa kiasi kikubwa sio masafi
yamechanganyikana na tope, hali hiyo
imesababisha kuwa na mazalio mengi ya
samaki aina ya Kambale, Samaki hao ambao
wanauwezo wa kuishi kwa muda mrefu hata
kama hakuna maji kutokana na kwamba huwa
na uwezo wa kujizika ndani ya tope hata kwa
miezi zaidi ya sita.
Wavuvi wa eneo hilo wamekuwa
wakijishughulisha na uvuvi wa samaki aina
mbalimbali lakini zaidi huvua samaki aina ya
Kambale, Hivi karibuni wamevua Kambale
mkubwa sana na kukili kwamba alikuwa ni
moja ya samaki wakubwa ambaye wamemvua.
Wamesema kwamba walisha wahi kuvua
samaki aina hiyo mkubwa lakini hakufikia
samaki huyo aliyevuliwa hivi karibuni.
"Ni kweli tumekuwa tukivua sana samaki lakini
huyu ni samaki mkubwa sana ambaye
tumemvu" aliongea Mvuvi.
Huyu ni Samaki Mkubwa ambaye alionekana
pembezoni mwa Mto Ruaha Iringa Mara baada
ya Kuvuliwa tayari kwa kuingizwa Sokoni.
Samaki huyo akiwa anaonekana kwa ubavuni.
Picha na Iringa yetu

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b