Aliwaokoa: Fred aliifungia bao pekee Brazil katika pasha pasha ya kombe la dunia.
Fred akichukua mpira katika dakika ya 58 na kufunga bao kwenye uwanja wa Morumbi
WAZEE wa Samba, Brazil, jana usiku walibanwa mbavu na kuanza
vibaya kipindi cha kwanza katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Serbia na
kupata ushindi mwembamba wa bao 1-0 wakati huu zikisalia zimesalia siku
tano tu kuanza fainali za kombe la dunia.
Katika hali isiyokuwa ya
kawaida, mashabiki waliofurika uwanjani waliwazomea wachezaji wa Brazil
baada ya Fred kufunga bao hilo pekee katika dakika ya 58.
Kusoma zaidi bofya
Comments
Post a Comment