Skip to main content

HUU HAPA NDIO UKWELI KUHUSU KIFO CHA MWIGIZAJI MAARUFU NCHINI


Maehemu Mzee Small akiwa hospitali enzi za uhai wake.
Stori: MWANDISHI WETU
Msiba tena! Ukweli ni kwamba gwiji wa maigizo na vichekesho Bongo, Said Ngamba ‘Mzee Small’ ameandamwa na roho wa kifo kwa siku 790 hadi alipokutwa na umauti usiku wa kuamkia jana, Ijumaa Wikienda lilikuwa naye bega kwa bega.
Mke wa marehemu Mzee Small, Bi. Fatuma Said akiwa na simanzi nzito.
Mzee Small aliyekuwa na umri wa miaka 59, anakuwa mwigizaji wa nne kufariki dunia ndani ya siku 21 akitanguliwa na Adam Phillip Kuambiana, Sheila Leo Haule ‘Recho’ na George Otieno Okumu ‘Tyson’ ambaye bado hajazikwa huku kwenye michezo kukiwa na pigo la kuondokewa na Ally Hassan Mwanakatwe na Gebo Peter.
ALITESEKA SIKU 790
Kabla ya kukutwa na mauti kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar, Mzee Small aliteseka kwa miaka miwili na miezi miwili, jumla ya siku 790, ambapo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi au kupooza (stroke).
Mzee Small akiwa nyumbani kwake.
Katika kipindi hicho chote Mzee Small alikuwa akiteswa na maumivu ya ugonjwa huo unaosumbua wengi kwa sasa ambapo alikuwa akilazwa mara kwa mara.
Kwa mujibu wa mwanaye aitwaye Mahamud Said, Alhamisi iliyopita Mzee Small alikuwa akitaniana naye lakini ilipofika usiku hali ilibadilika na akawa anakoroma kupita siku za kawaida.
Alisema kulipokucha siku ya Ijumaa hali ilizidi kuwa mbaya hivyo ndugu, jamaa na marafiki walimkimbiza Muhimbili alikokutwa na mauti.
Wakina mama wakiwa na nyuso za huzuni kwenye msiba wa Mzee Small.
TABATA-MAWENZI
Mahamud alisema mbali na kukoroma, Mzee Small, akiwa nyumbani kwake Tabata-Mawenzi, Dar alikuwa hazungumzi huku akitokwa na damu mdomoni hadi alipokutwa na mauti majira ya saa 4:00 usiku wa siku hiyo.
ALITENGWA NA BONGO MOVIES?
Enzi ya uhai wake wakati anaumwa, msanii huyo aliwahi kuandikwa na gazeti hili huku wasomaji wakiombwa kumchangia baada ya kudai kutengwa na wasanii wenzake wa filamu za Kibongo ‘Bongo Movies’.
Baadhi ya wasanii pia katika maigizo ya ucheshi wakiwa katika msiba wa Mzee Small.
Mwezi Machi, mwaka huu, mkongwe huyo aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa ugonjwa wa kupooza ulimuanza tangu Mei, mwaka 2012 ambapo ulikuwa ukimsumbua kiasi cha  kushindwa kufanya shughuli zake za kawaida kwani alikuwa ni mtu wa kushinda ndani.
“Siwezi kutembea kwa zaidi ya miaka miwili, nimekuwa mtu wa kulala kitandani tu, nikitaka kuelekea chooni mke wangu ndiye ananisaidia,” alisema Mzee Small kwa uchungu.
ALIWASHUKURU WASANII
Mzee huyo aliyeonekana kuwa dhaifu, alisema anawashukuru baadhi ya wasanii ambao walikuwa pamoja kwa kumpa misaada mbalimbali lakini pia aliwazungumzia wale ambao walimtenga kipindi chote cha kuugua.
“Ninaposikia wasanii wanasema kwamba kuna umoja, napinga hilo. Kuna watu wengi nimefanya nao kazi na hata wengine kuwatoa mikoani na kuja Dar kwa ajili ya kufanya kazi, wakafanikiwa lakini siwaoni katika kipindi chote cha kuteseka kwangu kitandani,” alisema Mzee Small.
Baadhi ya watoto wa marehemu Mzee Small, aliyesiama Abdul, aliyekaa Abdulahaman na mdogo ni Said wakitafakari jambo msibani.
Endapo angepona, aliahidi kurudi tena katika uwanja wa maigizo kwa kutoa filamu kadhaa mwaka huu kwani alisema anajiona kuwa na nguvu za kufanya kazi tena.
Bila kujua mbeleni alisema: “Narudi. Wale walioanza kunisahau nawaambia kwamba nitarudi tena na kutoa kazi nyingi zenye mafundisho.”
MAZISHI
Habari zilizopatika wakati tunakwenda mitamboni jana zilieleza kuwa mazishi ya staa huyo wa komedi Bongo, yatafanyika leo kwenye Makaburi ya Segerea, Dar kama wosia wake ulivyoeleza na siyo kijijini kwake Kilwa, Pwani alikozaliwa akitokea  Kabila ya Wamatumbi.
Baadhi ya kazi za sanaa alizofanya ni pamoja na michezo ya runingani ya Hamsini Hamsini Mia, Nani Mwenye Haki, Mjini Shule na mingine kibao, baadhi ya michezo hiyo aliitolea filamu zilizopendwa na wengi.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog