Skip to main content

LUKE SHAW ASAINI MIAKA MINNE OLD TRAFFORD, ROONEY AMKARIBISHA KIROHO SAFI

Beaming: Luke Shaw has completed his £31.5million move to Manchester United Luke Shaw amekamilisha dili la usajili la paundi milioni 31.5 katika klabu ya Manchester United.
 BEKI wa kushoto wa England, Luke Shaw amekamilisha usajili katika klabu ya Manchester United kwa dau la paundi milioni 31.5 na kusaini mkataba wa miaka minne kukipiga Old Trafford.
Nyota huyo kinda amefuzu vipimo vya afya leo katika uwanja wa mazoezi wa Carrington na imetaarifiwa kuwa atakuwa chaguo la kwanza la kocha Louis van Gaal katika nafasi ya kushoto.
Inafahamika kuwa kinda huyo atahakikishiwa nafasi ya kuanza, huku beki mkongwe mwenye miaka 33, Mfaransa, Patrice Evra ambaye atabakia kwa mwaka mmoja akipunguziwa majukumu.
History: Shaw said he was 'thrilled and delighted' to be joining the 13-time Premier League championsHistoria: Shaw alisema amejisikia furaha kujiunga na mabingwa mara 13 wa ligi kuu ya England

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu