Skip to main content

LUKE SHAW ASAINI MIAKA MINNE OLD TRAFFORD, ROONEY AMKARIBISHA KIROHO SAFI

Beaming: Luke Shaw has completed his £31.5million move to Manchester United Luke Shaw amekamilisha dili la usajili la paundi milioni 31.5 katika klabu ya Manchester United.
 BEKI wa kushoto wa England, Luke Shaw amekamilisha usajili katika klabu ya Manchester United kwa dau la paundi milioni 31.5 na kusaini mkataba wa miaka minne kukipiga Old Trafford.
Nyota huyo kinda amefuzu vipimo vya afya leo katika uwanja wa mazoezi wa Carrington na imetaarifiwa kuwa atakuwa chaguo la kwanza la kocha Louis van Gaal katika nafasi ya kushoto.
Inafahamika kuwa kinda huyo atahakikishiwa nafasi ya kuanza, huku beki mkongwe mwenye miaka 33, Mfaransa, Patrice Evra ambaye atabakia kwa mwaka mmoja akipunguziwa majukumu.
History: Shaw said he was 'thrilled and delighted' to be joining the 13-time Premier League championsHistoria: Shaw alisema amejisikia furaha kujiunga na mabingwa mara 13 wa ligi kuu ya England

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...