Skip to main content

MKUU WA WILAYA YA KIBONDO AONGOZA MAPOKEZI YA BONDIA IBRAHIMU CLASS .KING CLASS MAWE’ BAADA YA KURUDI NA UBINGWA WA WPBF AKITOKEA ZAMBIA

 Bondia Ibrahimu Class “King Class Mawe ” kushoto akiwa na promota wa kimataifa Jay Msangi ‘Jiwe Gumu’ baada ya kutua nchini wakitokea Zambia walipo nyakuwa ubingwa wa WPBF Africa kwa kumpiga Mwansa Kabinga  wa Zambia katika Arthur Davis 
 
Bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe ‘ akiwasili nchini kutokea Zambia aliponyakua mkanda huo
Bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe ‘ akionesha mkanda wake wa ubingwa juu
Mashabiki mbalimbali wakimpongeza bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ baada ya kuwasili nchini alipotokea Zambia ambapo alinyakuwa mkanda wa WPBF kushoto ni Jay Msang ‘jiwe Ngumu’ Mkuu wa wilaya ya Kibondo Venance Mwamoto na wadau mbalimbali wa mchezo wa masumbwi picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe ‘ katikati akiwa na mashabiki waliopanda nae ndege moja na kumpongeza baada ya kuwasili nchini kwa kunyakuwa ubingwa wa WPBF
Bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe ‘  akipokelewa kwaniaba ya serekali nakuu wa wilaya ya Kibondo Venance Mwamoto mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius Nyerere kulia ni Promota wa kimataifa Jay Msangi ‘Jiwe Gumu’ picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe ‘  akipokelewa kwa niaba ya serekali nakuu wa wilaya ya Kibondo Venance Mwamoto  katikati mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius Nyerere kulia ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...