Skip to main content

SCOLARI: KUZOMEWA SIO TATIZO KWA BRAZIL

418176_heroa
KOCHA Luiz Felipe Scolari amesema kitendo cha mashabiki kuwazomea wachezaji wa tiimu ya Taifa ya Brazil katika ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Serbia jana ijumaa haina tatizo kwake na kwa wachezaji wake kwani wapo tayari kwa mazingira kama hayo. 
Selecao walihangaika kuvunja ngome imara ya Serbia katika dimba la Sao Paulo mpaka Fred alipofanikiwa kupenya katika dakika ya 58 na kufunga bao hilo pekee. 
Mashabiki walikosa uvumilivu na kujikuta wakiwazomea wachezaji wao kwa soka `mbofu mbofu` dhidi ya Serbia, lakini Scolari hana tatizo na kitendo hicho.
“Ni kitu cha kawaida,” Kocha huyo aliwaambia waandishi wa habari wa Brazil. “Ilitokea Goiania na sehemu nyingine”. 
“Haikuwa tatizo kwa mchezaji wangu yeyote. Wako tayari kwa hili”. 
“Lakini baada ya filimbi ya mwisho, asilimia 65 ya mashabiki 67,000 waliridhishwa”.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...