Skip to main content

SERIKALI YATOA UFAFANUZI TAARIFA ZA MAGAZETI JUU YA HOTUBA YA KATIBU MKUU KIONGOZI

sefue
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
ngaoWIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Katika baadhi ya magazeti ya leo tarehe 27 Juni, 2014 yameandika taarifa ambazo sio sahihi likiwemo gazeti la  Uhuru lenye kichwa cha habari “BILA KUPITIA JKT HAKUNA AJIRA SERIKALINI na gazeti la Tanzania Daima lenye kichwa cha habari “IKULU: RUSHWA YA NGONO IMEKITHIRI SERIKALINI”.
Magazeti yote haya yameandika habari za kupotosha Umma kuhusu hotuba ya Katibu Mkuu Kiongozi aliyoitoa tarehe 26/6/2014 katika mkutano wa Mwaka wa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Makatibu Tawala uliofanyika mjini Dodoma. Magazeti hayo yamejenga taswira kwamba Katibu Mkuu Kiongozi alitoa taarifa kwamba “Hakuna ajira bila kupitia Jeshi la Kujenga Taifa” na “Rushwa ya ngono imekithiri Serikalini”.
Serikali inapenda kutoa ufafanuzi kwamba taarifa hizo siyo za kweli wala hazielezi taarifa halisi aliyoigusia Katibu Mkuu Kiongozi, Mhe. Balozi Ombeni Sefue. Katika hotuba yake alisema “Aidha, ningependa mjue kuwa kuanzia sasa tutaweka mkazo mkubwa sana kwenye sifa ya uzalendo kwenye ajira Serikalini.  Hatuwezi kuwa na Watumishi wa Umma ambao hawana uzalendo.Pale ambapo waombaji kazi kwenye Utumishi wa Umma wana sifa zote sawa, lakini wakawepo wale ambao wamepitia Jeshi la Kujenga Taifa watapewa kipaumbele.lakini narudia, kipaumbele hicho kitumike pale tu ambapo sifa zingine zote ziko sawa, na si vinginevyo”. 
Kuhusu suala la rushwa ya ngono lililoripotiwa na gazeti la Tanzania Daima, si kweli kwamba Katibu Mkuu Kiongozi alisema kumekuwa na ongezeko au kukithiri kwa rushwa ya ngono katika utoaji wa ajira serikalini. Alichokisema Katibu mkuu kiongozi ni kwamba “Lakini bado malalamiko yanasikika kuwa ati huwezi kuajiriwa kwenye Utumishi wa Umma isipokuwa kama unajulikana au unatoa rushwa, ama ya fedha au ya ngono.  Jambo hilo linanisononesha sana.  Mimi naamini mambo hayo yamepungua sana.  Lakini kama yanafanyika, ni kinyume kabisa na Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma na lazima tulio katika ukumbi huu tuyapige vita kwa bidii zote, bila kuoneana haya, hadi wananchi waone kuwa kweli hayapo.  Tusipuuze hata kidogo malalamiko ya wananchi, bali tujichunguze na tuchunguzane, ili kama mambo hayo bado yapo, kwa pamoja tuazimie kuyakomesha kabisa kwenye Utumishi wa Umma”. Hotuba halisi ya Katibu Mkuu Kiongozi inaweza kupatikana

IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI – MAELEZO
27/6/2014

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu