Mkurugenzi
wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wizara ya Uchukuzi, Bw. Issa
Nchasi, akifanya usafi katika eneo la bandari ya Dar es Salaam kama
sehemu ya maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo kwa mwaka huu
kauli mbiu ni ‘Tunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia
nchi Tanzania’. Sehemu
ya wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi na taasisi zake wakiwa kwenye
zoezi la usafi wa mazingira katika eneo la Bandari ya Dar es Salaam
wakati wa maadhimisho ya siku ya Mazingiza Duniani. Mkurugenzi
wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Uchukuzi, Bi, Tumpe
Mwaijande (kulia), akipanda mti katika eneo la bandari ya Dar es Salaam
leo asubuhi, kama sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Mazingira.
Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira yanafanyika kitaifa mkoani Mwanza
ambapo kwa mwaka huu kauli mbiu ni ‘Tunza mazingira ili kukabiliana na
mabadiliko ya tabia nchi Tanzania’. (Picha na kitengo cha mawasiliano Serikalini-Uchukuzi
When the Internet first came to the continent of African society,most people were very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b
Comments
Post a Comment