Skip to main content

BRAZIL WAWEKA BONGE LA REKODI…HAIJAWAHI KUTOKEA TANGU KOMBE LA DUNIA KUANZA 1930, YACHAPWA NYUMBANI 7-1 NA UJERUMANI


article-2685137-1F7CC90F00000578-905_634x453Ujerumani wameipiga Brazil kipigo cha mbwa mwizi.
Na Baraka Mpenja
KWA Muda mrefu wananchi wa Brazil waliandamana wakipinga nchi yao kuandaa fainali za kombe la dunia kwasababu kiasi kikubwa cha fedha kimetengwa.
Walikuwa wakihuzunishwa na matumizi makubwa ya fedha kwa ajili ya kuandaa miundo mbinu ya kombe la dunia, wakati maisha yao yakiwa katika hali mbaya.
Huduma mbovu za jamii, umasikini wao uliwahamasisha kuandamana na kuleta sintofahamu ya kisiasa.
Brazil walienda kwa kujivuta na mnamo juni 12 mwaka huu wakasahau shida zote na kushuhudia timu yao ya Taifa ikicheza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Croatia.
Walipata ushindi wa mabao 3-1 na kufurahia matokeo hayo.
Faraja pekee kwa wananchi maskini wa Brazil ilikuwa ni kuona timu yao inafanya vizuri na kubeba kombe. Walikuwa wanafurika uwanjani, kwenye kumbi za kuoneshea mpira, lengo ni kutaka kuona timu yao inafanya nini.
article-2685137-1F7CD15D00000578-598_634x482Hawaamini: Fernandinho, Maicon na David Luiz wakishangaa baada ya Ujerumani kufunga bao la tano.
Brazil ambayo unaweza kusema ni mbovu kuliko Brazil zote zilizopita, ilijikongoja hatua ya makundi na kuingia hatua ya 16.
Baada ya hapo walipigiwa mbungi kubwa na Colombia, lakini walifanikiwa kusonga mbele kwa mikwaju ya penati na kutinga nusu fainali.
Kwa bahati mbaya wakiwa na ubovu wao, waliingia mikononi mwa `watu katili`, Ujerumani.
Kabla ya mechi, kocha Luiz Felipe Scorali alijigamba kuifunga Ujerumani na katika mkutano wa jana na waandishi wa habari alithubutu kuuzungumzia mchezo wa fainali, tena dhidi ya Argentina.
Kwa bahati mbaya hakufirikiria kama anaenda kukutana na Ujerumani yenye bunduki zote.
article-2685137-1F7CB97700000578-523_634x410Mlinda mlango, Julio Cesar hakuwa na ujanja wa kuzuia mpira uliopigwa na Muller, huku David Luiz akishangaa .
Brazil ambayo unaweza kusema ni mbovu kuliko Brazil zote zilizopita, ilijikongoja hatua ya makundi na kuingia hatua ya 16.
Baada ya hapo walipigiwa mbungi kubwa na Colombia, lakini walifanikiwa kusonga mbele kwa mikwaju ya penati na kutinga nusu fainali.
Kwa bahati mbaya wakiwa na ubovu wao, waliingia mikononi mwa `watu katili`, Ujerumani.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b