Skip to main content

HAYA YA BRAZIL KUPIGWA 7-1 NI MAJANGA, KWA SIMBA SC MUDA WA KUPANGA MAJESHI UMEFIKA, FANYENI HAYA…….

_DSC0648

LUIZ Felipe Scolari amekubali kubeba lawama zote kutokana na fedheha waliyoipata Brazil kutoka kwa `watu katili` Ujerumani.
Haikutegemewa na wengi kama Brazil wangeingia katika rekodi mbaya ya kombe la dunia kwa kufungwa mabao 7-1 na Ujerumani katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la dunia jana usiku.
Brazil waliojiamini, waliingia kwa kasi, lakini bao la mapema la Thomas Muller liliwatoa upepo ghafla ya kufungisha mabao mengi zaidi.
Bora Neymar hakuwepo katika mchezo huo. Huyu ni mchezaji mwenye kiwango cha juu kama alivyo kwa Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.
Kama angekuwepo uwanjani, halafu Brazil ikafungwa mabao kama ya jana, basi ingemharibu zaidi katika maisha yake ya soka.
Tatizo kubwa la Brazil lilikuwa kwenye safu ya ulinzi iliyoongozwa na nahodha David Luiz, Maicon, Marcelo na Dante. Hawa walikuwa tatizo jana, walikaba vibaya, utulivu ulikuwa `F`. Hata Neymar angekuwepo, kwa aina ya uchezaji wake, bado safari ya Brazil ingefika mwisho kwasababu asingekuwa na jinsi ya kuwaokoa.
article-2685267-1F7E09A000000578-454_634x476Mambo ya `wedi kapu` haya, si mchezo: David Luiz alishindwa kuzuia machozi baada ya `mbungi` kumalizika.
Pole sana Scolari, pole sana Neymar, Pole sana Thiago Silva, pole sana wananchi wa Brazil, pole sana mashabiki wa Brazil duniani kote. Huo ndio mpira wa miguu, Rekodi yenu itazungumzwa zaidi ya miaka 50 ijayo.
Hongereni Ujerumani kwa ushindi mnono. Hongereni kwa Miroslav Klose kuvunja rekodi ya gwiji wa Brazil, Ronaldo. Mabao 16 na kuwa mfalme wa mabao wa kombe la dunia ni heshima kubwa.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...