Skip to main content

HAYA YA BRAZIL KUPIGWA 7-1 NI MAJANGA, KWA SIMBA SC MUDA WA KUPANGA MAJESHI UMEFIKA, FANYENI HAYA…….

_DSC0648

LUIZ Felipe Scolari amekubali kubeba lawama zote kutokana na fedheha waliyoipata Brazil kutoka kwa `watu katili` Ujerumani.
Haikutegemewa na wengi kama Brazil wangeingia katika rekodi mbaya ya kombe la dunia kwa kufungwa mabao 7-1 na Ujerumani katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la dunia jana usiku.
Brazil waliojiamini, waliingia kwa kasi, lakini bao la mapema la Thomas Muller liliwatoa upepo ghafla ya kufungisha mabao mengi zaidi.
Bora Neymar hakuwepo katika mchezo huo. Huyu ni mchezaji mwenye kiwango cha juu kama alivyo kwa Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.
Kama angekuwepo uwanjani, halafu Brazil ikafungwa mabao kama ya jana, basi ingemharibu zaidi katika maisha yake ya soka.
Tatizo kubwa la Brazil lilikuwa kwenye safu ya ulinzi iliyoongozwa na nahodha David Luiz, Maicon, Marcelo na Dante. Hawa walikuwa tatizo jana, walikaba vibaya, utulivu ulikuwa `F`. Hata Neymar angekuwepo, kwa aina ya uchezaji wake, bado safari ya Brazil ingefika mwisho kwasababu asingekuwa na jinsi ya kuwaokoa.
article-2685267-1F7E09A000000578-454_634x476Mambo ya `wedi kapu` haya, si mchezo: David Luiz alishindwa kuzuia machozi baada ya `mbungi` kumalizika.
Pole sana Scolari, pole sana Neymar, Pole sana Thiago Silva, pole sana wananchi wa Brazil, pole sana mashabiki wa Brazil duniani kote. Huo ndio mpira wa miguu, Rekodi yenu itazungumzwa zaidi ya miaka 50 ijayo.
Hongereni Ujerumani kwa ushindi mnono. Hongereni kwa Miroslav Klose kuvunja rekodi ya gwiji wa Brazil, Ronaldo. Mabao 16 na kuwa mfalme wa mabao wa kombe la dunia ni heshima kubwa.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b