Skip to main content

Hizi ndizo sababu zilizomfanya Ray asiende kimzika Baba yake Johari

Tweet 0
MKURUGENZI wa RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’
ameshindwa kumzika baba mdogo wa mkurugenzi
mwenza wa kampuni hiyo, Blandina Chagula,
Clement Kiyenze Chagula.
Mzee huyo alifariki katika Hospitali ya Muhimbili
kutokana na matatizo ya presha na figo yaliyokuwa
yakimsumbua na kuzikwa katika Makaburi ya
Kinondoni jijini Dar ambapo wasanii mbalimbali wa
filamu nchini walishiriki akiwemo Mbunge wa
Chalinze, Ridhiwani Kikwete.
Alipoulizwa Ray kwa nini hakuhudhuria mazishi
hayo, alisema:
“Ukweli ni kwamba mimi sipo Dar. Ndiyo maana
sijaonekana huko kwenye mazishi, nipo Mwanza
katika shughuli zangu za kikazi, tuko pamoja lakini,”
alisema Ray ingawa wachungzi wa mambo
wanasema kuwa alikuwepo mjini ila ni kutokana na
sababu binafsi zao kati yake na Johari ndo maana
hakutaka kwenda huku chuchu hans akidaiwa
kuhusika.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog