Skip to main content

HUU NDIO UKWELI KUHUSU BOMU ILIYOLIPUKA ARUSHA

WATU 8 WAJERUHIWA NA BOMU
NA Ferdinand Shayo, ARUSHA

WATU wanne ambao ni raia wa Asia wamejeruiwa vibaya na kitu
kinachiosadikiwa kuwa ni bomu wakati wakila katika Hotel ya Wama iliyopo
maeneo ya Gymkhana Jijini Arusha.


Tukio hilo limetokea majira ya saa 4 usiku ambapo bomu hilo lililotupwa kwa
mkono na  watu wasio julikana na kuwajeruhi watu hao ambapo mmoja
amejuruhiwa vibaya na amewekwa katika  chumba cha uangalizi katika
Hospitali ya Seliani Arusha.


Akizungumza na waandishi wa habari kaimu Mganga mkuU wa hospitali ya
seliani Dr Paulo Kisanga alisema kuwa hospitali hiyo iliyopokea majeuhi
8,wanaume 5 wanawake 3 na wamejeruhiwa katika maeneo  miguu na majeruhi
mmoja amekatwa mguu mmoja na hali  yake bado ni mbaya.


Dr Kisanga aliwataja majeruhi hao kuwani Vinod Sureshi,Rutwik Khamd
Val,Raji Rajin,Prateek Saveq,Manc Gumpka,Manisha Gupta,Mahushi Gupta na
Deepale Gupta wote walikuwa raia wa Asia.


Kwa upande wake mbunge wa jeshi maalumu Mkoa wa Arusha Mh Catherine Magiye
alisema kuwa vitendo vya Milipuko ya mabomu vinaendelea kutokea  katika
Mkoa wa Arusha vinatishia kuwepo kwa hali ya amani pamoja na kutishia
maisha ya wageni wanaokuja kutalii hapa nchini.


Aidha Mh. Magiye aliwataka wakazi wa Jiji la Arusha  kuwa watulivu sambamba
na na kuhirikiana  na jeshi la polisi ili kuwabaini watu wanaohusikana
matukio hayo ambapo pia wameomba Serikali kuchukua hatua  za haraka
kuondoa  majanga hayo kwani inaonyesha kuwa serikali haijachukua hatua
stahiki.


Naye Amanda wa polosi mkoa wa Arusha ASCP Liberatus Sabasi alias kuwa yeye
hawezi kuzngumzia tukio hilo lakini limeshathibitishwa na mkuu wa makosa ya
jinai Nchini Bwana Isaya Mwigulu.


Hata hivyo mlipuko huo wa bomu umetokea sikuchache baada ya kutokea mlipuko
mwingine mmnamo tarehe 3/8  mwaka huu eneo la majengo ya chini jijini Arusha
na kumjeruhi kiongozi wa taasisi ya AnswaarMuslim Youth Center kanda ya
kaskazini ShekhSud Ally Sudi na Muhaj Huseni 38 wakati wakijiandaa kula
daku nyumbani kwao.



HABARI PAMOJA NA PICHA NI KWA MUJIBU YA MUHANDISHI WETU Ferdinand Shayo, ARUSHA

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b