Skip to main content

ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.

Umoja wa Mataifa umeelezea ghadhabu kutokana
na Fatwa iliyotolewa na Kundi la wapiganaji wa
Kiislamu wa ISIS ya kuwataka wanawake wote
waliozidi umri wa miaka 11 kukeketwa.
Afisa wa shirika la umoja wa mataifa nchini
Iraq ,Jacqueline Badcock ameonya kuwa agizo hilo
la kidini ama Fatwa itawaathiri zaidi ya wanawake
milioni nne kati ya umri wa miaka 11-46.
Kundi hilo la wapiganaji wa Kiislamu ndilo
linaongoza mashambulizi katika maeneo ya
Kaskazini mwa Iraq na wao ndio wanaotawala mji
wa Mosul.
Kundi hilo linalosheheni wapiganaji wa dhehebu la
Sunni ndilo linaloendeleza wimbi la mashambulizi
katika taifa hilo linalotishia kusambaratika katika ya
maeneo yanayotawaliwa na madhehebu.
Ukeketaji sio kawaida nchini Iraq.
Mapema juma hili, Isisi iliwalazimisha Wakriso
katika mji wa Mosul kuondoka na kuandika herufi N
kwenye nyumba zao, hatua ambayo imetambuliwa
kama kutaifisha mali za Wakristo katika eneo hilo.
Kulingana na amri hiyo mpya iliyotolewa chini ya
Sharia, , wanawake wote kati ya umri wa miaka 11
na 46 wanapaswa kukeketwa.
ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa
miaka 11-46 kukeketwa.
Bi Badcock alisema kuwa utamaduni huo ni jambo
geni sana nchini Iraq na ni swala linalopaswa
kujadiliwa.
Alisema hayo alipokuwa akiwahutubia waandishi wa
habari kupitia simu ya video katika mji mkuu wa
Mkoa wa Kurdi wa Ibril.
Zoezi hilo la kuwapasha tohara wanawake
limeenea sana katika mataifa mengi ya Afrika
mashariki ya kati na jamii kadhaa barani Asia.
Baraza la Umoja wa mataifa lilipitisha mswada
mnamo mwaka wa 2012 ya kuharamisha tamaduni
hiyo ya upashwaji tohara kwa wanawake.
Isis ilitwaa mji wa Mosul mnamo mwezi wa Juni
miongoni mwa miji mingine midogo midogo
kuelekea mji mkuu wa Baghdad.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...