Skip to main content

ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.

Umoja wa Mataifa umeelezea ghadhabu kutokana
na Fatwa iliyotolewa na Kundi la wapiganaji wa
Kiislamu wa ISIS ya kuwataka wanawake wote
waliozidi umri wa miaka 11 kukeketwa.
Afisa wa shirika la umoja wa mataifa nchini
Iraq ,Jacqueline Badcock ameonya kuwa agizo hilo
la kidini ama Fatwa itawaathiri zaidi ya wanawake
milioni nne kati ya umri wa miaka 11-46.
Kundi hilo la wapiganaji wa Kiislamu ndilo
linaongoza mashambulizi katika maeneo ya
Kaskazini mwa Iraq na wao ndio wanaotawala mji
wa Mosul.
Kundi hilo linalosheheni wapiganaji wa dhehebu la
Sunni ndilo linaloendeleza wimbi la mashambulizi
katika taifa hilo linalotishia kusambaratika katika ya
maeneo yanayotawaliwa na madhehebu.
Ukeketaji sio kawaida nchini Iraq.
Mapema juma hili, Isisi iliwalazimisha Wakriso
katika mji wa Mosul kuondoka na kuandika herufi N
kwenye nyumba zao, hatua ambayo imetambuliwa
kama kutaifisha mali za Wakristo katika eneo hilo.
Kulingana na amri hiyo mpya iliyotolewa chini ya
Sharia, , wanawake wote kati ya umri wa miaka 11
na 46 wanapaswa kukeketwa.
ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa
miaka 11-46 kukeketwa.
Bi Badcock alisema kuwa utamaduni huo ni jambo
geni sana nchini Iraq na ni swala linalopaswa
kujadiliwa.
Alisema hayo alipokuwa akiwahutubia waandishi wa
habari kupitia simu ya video katika mji mkuu wa
Mkoa wa Kurdi wa Ibril.
Zoezi hilo la kuwapasha tohara wanawake
limeenea sana katika mataifa mengi ya Afrika
mashariki ya kati na jamii kadhaa barani Asia.
Baraza la Umoja wa mataifa lilipitisha mswada
mnamo mwaka wa 2012 ya kuharamisha tamaduni
hiyo ya upashwaji tohara kwa wanawake.
Isis ilitwaa mji wa Mosul mnamo mwezi wa Juni
miongoni mwa miji mingine midogo midogo
kuelekea mji mkuu wa Baghdad.

Comments

Popular posts from this blog

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b