Skip to main content

Madaktari Tanzania walaani miili kutupwa

Chama cha Madaktari nchini Tanzania kimelaani
kitendo cha kutupwa kwa viungo vya binadamu nje
ya jiji la Dar es Salaam kinyume cha sheria.
Rais wa chama hicho, Dk. Primus Saidia ametaka
hatua madhubuti zichukuliwe dhidi ya wahusika
ikiwemo kupigwa marufuku kwa mtu au taasisi
iliyohusika kuendesha shughuli zozote za utafiti
kwa kutumia viungo vya binadamu.
Dk Primus ameweka bayana kwamba, licha ya fani
hiyo ya udaktari kuruhusiwa kutumia viungo vya
binadamu katika shughuli mbali mbali za utafiti kwa
mujibu wa sheria za kitaifa na kimataifa lakini
ameelezea kwamba kitendo hicho kimekiuka haki
za binadamu.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za
Chama hicho cha madaktari hapa jijini Dar es
Salaam, kiongozi huyo ametaka hatua madhubuti
zikuchuliwe dhidi ya wahusika ikiwemo kufungiwa.
Sakata la kutupwa kwa viungo hivyo kinyume cha
sheria katika mji wa Mbweni nje ya jiji la Dar es
Salaam siku mbili zilizopita, lilizua taharuki
miongoni mwa watu wa kada mbalimbali.
Tayari watu wanane kutoka Chuo cha udaktari cha
IMTU kilichopo hapa jijini Dar es Salaam
wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusishwa
kwa kutupwa kwa viungo hivyo ambavyo viliwekwa
katika mifuko ya plastiki ipatayo 85.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...