Skip to main content

MBASHA AKANA KUMBAKA SHEMEJI YAKE!!


KESI ya ubakaji inayomkabili mume wa Mwimbaji
Flora Mbasha ambae ni mwimbaji maarufu wa
nyimbo za injili Tanzania Emmanuel Mbasha (32),
ilitajwa tena July 23 2014 katika mahakama ya
wilaya ya Ilala ambapo Mbasha amesomewa tena
mashataka yake huku akikubali sentensi mbili tu
kati ya nne zilizosomwa.Akisoma hoja hizo mbele
ya hakimu Wilbert Luago, mwendesha mashtaka
wa serikali Nasoro Katunga alisema May 23 2014
mtuhumiwa alimbaka binti aitwaye  Yerusalemu
Boazi (17) ambae ni mdogo wa Flora na
kumlazimisha asimwambie mtu yoyote ambapo
wakati akitenda kosa hilo
mkewe Flora hakuwepo nyumbani.Katunga
aliendelea kufafanua kuwa May 25 2014 Mbasha
alirudia tena kitendo cha ubakaji baada ya
kumuomba binti huyo amsindikize kumtafuta mke
wake ambae hakuwepo nyumbani ambapo
walipofika Tabata peke yao, Mbasha alimbaka tena
binti.Hizo sentensi zote mbili za juu Mbasha
amezikana Mahakamani kwa kusema sio
kweli.Hata hivyo iliendelea kuelezwa kwamba
tukio hilo la ubakaji liliripotiwa katika kituo cha
polisi Tabata ambako Boazi alipewa PF3 kwa ajili
ya kupata matibabu ambapo uchunguzi uliofanywa
ulionyesha ni kweli binti huyo aliingiliwa kimwili.
Katika kesi hiyo ambayo Mbasha anatetewa na
wakili Mathew Kakamba, Mbasha alikubali sentensi
mbili na kuzikataa mbili zilizobaki kwamba
alimbaka binti huyo.
Alichokubali ni kusema ni kweli alimuomba binti
huyo amsindikize kumtafuta mke wake ambaye
hakuwepo nyumbani na pia alikubali ni kweli Mei
23 2014 mke wake Flora Mbasha hakuwepo
nyumbani.
Baada ya kusomewa mashataka hayo na
mwendesha mashataka wa serikali, Jaji Luago
aliahirisha kesi hiyo hadi August 22 2014 baada ya
wakili anayemtetea Mbasha kudai atakuwa na
safari kwa siku za karibuni nje ya Mkoa.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b