Skip to main content

MWAMBUSI AJIANDAA KUCHEZA `FAINALI 26` LIGI KUU BARA

Mbeya
MSIMU uliopita wa ligi kuu soka Tanzania bara, Juma Mwambusi wa Mbeya City fc alichaguliwa kuwa kocha bora wa msimu baada ya kuiongoza klabu hiyo mpya kushika nafasi ya tatu katika msimamo.
Mbeya City fc walizisumbua klabu kubwa za Simba na Yanga, hata mabingwa Azam fc. Walimaliza nafasi ya tatu mbele ya mnyama Simba kwa kujikusanyia pointi 49 kibindoni.
Walishinda mechi 13, wakatoka sare mechi 10 na kufungwa mechi 3. Walikula kipigo cha kwanza cha bao 1-0 kutoka kwa Yanga ndani ya uwanja wa Taifa. Wakalala 2-0 dhidi ya Wagosi wa Kaya, Coastal Union, Mkwakwani Tanga. Na mechi ya tatu kufungwa ni ile ya 2-1 dhidi ya Azam fc.
Mechi hii ilipigwa uwanja wa Sokoine na kimsingi ndio iliamua ubingwa kutua mikononi mwa wana Lambalamba.
1aKocha wa Mbeya City fc, Juma Mwambusi (katikati) akizungumza na wachezaji wake Hassan Mwasapili (kushoto) na Peter Richard (kulia).
Mwambusi ni kocha maarufu nchini, kila timu anayoifundisha inapata mafanikio. Kumbuka alipokuwa na wajelajela Tanzania Prisons hali ilikuwaje.
Msimu uliopita, Mwambusi alikuja na kikosi chenye wachezaji wapya kabisa katika michuano ya ligi. Walikuwa vijana wadogo wasio na uzoefu, lakini aliwaamini kwasababu alitoka nao ligi daraja la kwanza ambapo alipanda kucheza ligi kuu bila kufungwa mchezo wowote.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...