Skip to main content

Tazama video ya Roma akifunguka juu ya BIFU NA WEUSI - ROMA MKATOLIKI





Swali: Kuna wasanii wengi kutoka Tanga lakini wewe umetoka mapema. Unazungumziaje msoto uliopitia hadi ukatusua kimuziki?



Roma Mkatoliki (kulia) akifunguka wakati akihojiwa na prizenta wa Global TV Online, Pamela Daffa 'The Mic Queen'
Roma: Ni kweli Tanga kuna wasanii wengi kama ilivyo Kigoma.
Tuna-fight sana na Kigoma. Kuhusu msoto siyo kwa wasanii wa Tanga tu
hata sehemu nyingine kuna msoto. Kwa Roma ilikuwa rahisi kwa sababu
alisoma gemu akagundua kuna vitu fulani havijaguswa ndipo nikapita
hukohuko.

Swali: Roma ni staa mkubwa wa Hip Hop Bongo. Je, ni kichwa kipi kingine unakikubali?

Roma: Wapo watatu. Wa kwanza ni Roma, wa pili ni Roma na wa tatu ni Roma.

Swali: Kwa nini Roma?

Roma: Najikubali sana ndiyo maana najiona namba moja, mbili na tatu.

Swali: Wewe ni mmoja wa wana-hip hop wasomi. Umemaliza UDSM Mlimani. Kwa nini ukaegemea kwenye muziki badala ya kuajiriwa?

Roma: Siyo kwamba sijawahi kuajiriwa. Kwanza hata fedha ya kwenda
studio nilidunduliza mshahara. Ni kweli nimesoma Kompyuta Sayansi pale
Mlimani. Sijaajiriwa. Muziki nao ni ajira.

Roma Mkatoliki katika pozi ndani ya Global TV Online.
Swali: Kuna hii system ya wasanii kutoa singo na kuachana na albam. Kwa mtazamo wako inalipa zaidi ya albam?

Roma: Miaka ya 90 kuja 2000, wasanii walitumia mtindo wa albam. Akina
Mr Nice, Profesa J na hata Sugu waliwahi kuingia mkataba na wakalipwa
fedha nyingi za albam.

Baadaye situation ilibadilika. Kukawa na
malalamiko mengi kwamba msambazaji ambaye alikuwa ni mmoja tu Mamu
alikuwa anawanyonya.

Ndipo wasanii wakaamua kutoa singo, video na kufanya shoo. Hapa ndipo
akina Adam Juma walipokuwa maarufu. Ndicho kipindi ambacho Roma
amekikuta. Tunatoa albam, tunafanya shoo, tunatoa mix tapes watu
wanasikiliza mtaani kwenye bodaboda. Labda kizazi kingine kitakachokuja
huko mbele kinaweza kuwa na system nyingine labda matangazo, kuuza
muziki mitandaoni kama itunes na makampuni kuamua kutumia wasanii kwenye
shughuli mbalimbali lakini kwa sasa ni mwendo wa singo na shoo ambazo
kwa sasa tuache uongo zinalipa.

Swali: Kwa nini unapenda kwenda Tanga?

Roma: Mimi na familia yangu tunaishi Dar, napenda kwenda Tanga ndipo wazazi wangu walipo, nimezaliwa Tongwe.

Swali: Roma unatumia mtindo wa kukosoa watu kwa maneno ya ukali. Je, unakutana na vitisho vyovyote?

Roma: Ili kufikisha ujumbe au kukemea jambo lazima useme kwa ukali.
Ninachokisema ndicho kilicho kwenye mawazo ya watu ndiyo maana kwenye
shoo huwa nakusanya kijiji. Sijakutana na vitisho lakini kuna baadhi ya
media namaanisha redio hawapigi nyimbo za aina fulani kwa sababu ama
maadili au masilahi yao.

Roma baada ya kumaliza mahojiano na Global TV Online.
Hilo nina uzoefu nalo nimeshakutana nalo sana ndiyo maana nikabuni
system mpya ya bodaboda. Ngoma yangu isipopigwa redioni then itapigwa
kwenye bodaboda na nikikutana nao kwenye shoo tunaenda sawa.

Swali: Roma huwa unawaimbisha watu na wanakuelewa, je, unatumia kitu gani kupata ule mzuka?

Roma: Ile inaitwa vibe, ukiwaambia twende hivi wanaenda. Hii inategemea
vitu vingi kama sound, malipo mazuri, dj mkali na steji yenyewe. Kuhusu
kilevi mimi situmii chochote ishu ni kucheza na raia tu.

Swali: Kwa nini wasanii wa Hip Hop ni wachache?

Roma: Ni wengi
sana. Hata underground wapo wengi. Mimi niliangalia nikaona nifanye kitu
tofauti so ni namna tu utakavyoweza kupenya.

Swali: Uhusiano wako na Weusi ukoje? Je, kuna mpango wowote wa kolabo?

Roma: Uhusiano upo fresh. Joh Makini, Nikki tupo poa sana. Sina bifu na
Weusi. Hakuna matatizo yoyote. Kwani kuna tatizo? Mimi sina matatizo.
Kuhusu kolabo kuna watu wengi sijafanya nao, yupo Profesa J, Fid Q,
marehemu Ngwea nilitamani kufanya naye. So siyo Weusi tu wapo wengi.
Weusi wanaiwakilisha vyema Arusha.

Swali: Ni singo gani za kwako ambazo zimefanya poa kwa kipindi chote cha muziki wako?

Roma: Almost singo zote kuanzia Kidole cha Mwisho, Tanzania, Ngoma za Ugenini, Mr President, Mathematics, 2030 hadi KKK.

Swali: Roma wewe ni Muislam au Mkristo kwa sababu kumekuwa na
mkanganyiko? Roma: Naitwa Ibrahim Musa. Ni Mkristo wa Kanisa Katoliki.
Ndiyo maana ukisikiliza mashairi yangu utakutana na mistari ya Biblia
ambayo nilijifunza tangu mafundisho.

Swali: Una mpango wa kujishughulisha na siasa? Je, una mke na mtoto?

Roma: Naliamini sana jukwaa nililopo na naliheshimu. Sehemu ambayo nipo
ni sahihi kuliko sehemu yoyote. Sina mpango wa kugombea. Kuhusu mke,
yupo na nina mtoto mmoja.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog