Skip to main content

Watoto waishio kwenye mazingira magumu hususani wanaoishi na VVU wazidi kunyanyapaliwa.


Mahmoud Ahmad,Arusha.
WATOTO waishio kwenye mazingira magumu  na yatima hususani wanaoishi na virusi vya ukimwi wamekuwa wakikabiliwa na changamoto kubwa ya kunyanyapaliwa na wazazi na hata walimu mashuleni hali ambayo imekuwa ikiwawia vigumu watoto hao kuendelea na masomo.Aidha unyanyapaa kwa watoto yatima wanaoishi na virusi vya ukimwi imekuwa ni changamoto kubwa kwao ambapo asilimia kubwa ya watoto wamekuwa wakikosa haki zao za msingi hususani elimu kutokana na hali hiyo.
Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi wa shirika la Sorode Organization la jijini hapa, Sophia Justine wakati akizungumza na watoto na walezi waliohudhuria katika harambee ya kuchangia bweni  kwa ajili ya watoto yatima wa kike  wanaolelewa katika kituo cha Faraja ambapo shs 1 milioni zilipatikana huku zikihitajika shs 50 milioni.
Alisema kuwa, kumekuwepo na unyanyapaa wa hali ya juu unaofanywa na walimu katika  shule mbalimbali baada ya kupewa taarifa kuhusu watoto hao hali ambayo imekuwa ikisababisha watoto hao kutengwa na wengine na hata wakati mwingine kuchukiwa kabisa na walimu na wazazi kwa ujumla.
Sophia alisema kuwa, watoto hao wanahitaji  kupatiwa haki zote za msingi kama wanavyopata watoto wengine badala ya kunyanyapaliwa na kutengwa na jamii kama watoto wasiofaa na kustahili kama wengine kitendo ambacho kimekuwa kikiwapa wakati mgumu kuishi katika jamii.
‘sisi shirika letu hili tumekuwa tukitoa elimu kwa jamii mbalimbali ikiwemo vituo mbalimbali vya watoto yatima ili kuweza kujua haki za mtoto ,na changamoto zinazowakabili ndio maana leo tukaamua kuandaa harambee hii ambayo ndo mwanzo tu lengo ni kuhakikisha fedha za bweni  zimepatikana kwa ajili ya kusaidia watoto hawa wa kike’alisema Sophia.
Naye Mkurugenzi wa kituo hicho cha kulelea watoto yatima cha Faraja ,Faraja Maliaki alisema kuwa, kituo hicho kina jumla ya watoto 200 ambapo kati ya hao watoto 30 wanaishi na virusi vya ukimwi na  watoto 48 wakiwa hawajulikani kabisa walipotokea wala makabila yao kutokana na kuokotwa baada  ya kutupwa  baada ya kuzaliwa.
Alisema kuwa, kituo hicho kimekuwa kikikabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ya ukosefu  wa bweni la wasichana ambapo kituo kina idadi ya wasichana 103 ambao wamekuwa na uhitaji huo wa bweni.
Faraja aliongeza  kuwa, watoto hao wamekuwa wakilala chini na wengine kusongamana kwenye kitanda kimoja kutokana na kutokuwa na bweni ,hivyo aliomba wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia bweni la watoto hao ambao wanaendelea kukua siku hadi siku.
Aidha alielezea changamoto nyingine kuwa ni pamoja na malazi, chakula,mavazi,kwani wakati  mwingine wamekuwa wakila mlo mmoja tu kwa siku huku idadi yao ikiendelea kuongezeka kila siku

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog