Skip to main content

Hatimaye Diomond atangaza rasmi kufunga ndoa na Wema unajua ni kwa nini stori kamali soma hapa!!

Msanii huyo ghali zaidi nchini kwa sasa, ametamka
hayo alipozungumza na Mwanaspoti nyumbani
kwake Sinza jijini Dar es Salaam juzi Jumatano.
Alisema kuna mambo mengi yaliyomchelewesha
kufikia hatua hiyo, ikiwamo maandalizi kwani
amepanga mashabiki wake wahudhurie harusi hiyo.
“Ndoa ni kitu cha heri na baraka, lakini kitu
kinachofanya kidogo mambo yachelewe ni kwamba
sisi au mimi ni mtu ninayefahamika, kwa hiyo hata
ndoa yangu watu wengi wanatamani waihudhurie,”
alisema Diamond.
Pia amesisitiza kwamba ndoa si jambo la masihara
kwani ni tendo la kiimani na ndio maana amekuwa
makini katika mipango yake.
“Nataka kila kitu kishuhudiwe na mashabiki,
ninaweza hata kuifanyia Uwanja wa Taifa,”
aliongeza.
“Unajua nilishindwa kufanya mambo haya haraka
kwa sababu wengi nadhani wangeamini kwamba
ninafanya hivyo ili kutafuta umaarufu zaidi, tunataka
tufanye kiusahihi yasije tokea mambo kama ya
Instagram tunataka tuje kuwa mfano wa kuigwa.”
Alipoulizwa tarehe ya ndoa hiyo Diamond alisema:
“Nilishasema ni hivi karibuni, unajua siku zote vitu
vya kheri waswahili wanasema lazima uvifiche,
hata Mwenyezi Mungu naye anasema anampenda
mtu aliye na siri, lazima vitu vingine uvifiche ili
vipate kufanikiwa. Wakati mwingine kunakuwa na
husda, hasidi kwa hiyo ukiviweka wazi sana
vinaweza kutofanikiwa.”
Taarifa kwamba Diamond hataoa zilisambaa na
kudaiwa kumchefua mchumba wake Wema Sepetu
ambapo katika mahojiano mkali huyo wa wimbo
‘Mdogo Mdogo’ alisema: “Kwanza sikuwahi kusema
siwezi kuoa, nilishtushwa na gazeti hilo, nilisikitika
kwa kweli na iliniuma sana, lakini nikaona nikijibu
nitaonekana kwamba sina adabu, kwa sababu siku
zote anayeanza huwa haonekani lakini
anayemaliza. Pia siwezi kubishana na vyombo vya
habari, mwisho wa siku ni watu haohao
nitawategemea wanifanyie kazi zangu,” alisema.
Hata hivyo Diamond alisema mchumba wake
anaumizwa na vichwa vya habari ambavyo
vimekuwa mwiba kwake.
“Hata hivyo magazeti yetu tumeshayazoea jinsi
yanavyoandika, wakati mwingine inakuwa kama
chachandu au kufurahisha baraza,” aliongeza.
Kuhusu taarifa kwamba ameachana na mchumba
wake huyo, alisema: “Hatuna tatizo watu wengi
wanasema tumeachana, lakini hatujaachana na
hatuwezi kujibishana.
“Sijui nikujibu nini kwa sababu kila nitakachokujibu
utaona namsifia kwa sababu yule ni mchumba
wangu.
“Lakini ninachoweza kukwambia ni kuwa sisi ndio
tunaoujua ukweli wa uhusiano wetu.
“Sidhani kama ni sahihi mapenzi yetu yakawa na
wasemaji wengine zaidi yetu wenyewe. Sasa ni
ajabu watu wanaposema yao.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b