Urusi imetangaza marufuku ya vyakula kutoka kwa
muungano wa Ulaya, Marekani na nchi zingine
kadha za magharibi ambazo zilikuwa zimetangaza
vikwazo dhidi ya Urusi kutokana na sera zake
nchini Ukraine.
Waziri mkuu nchini Urusi Dmitry Medvedev
aliuambia mkutano wa serikali kuwa Urusi
haitaruhusu tena uingizwaji wa Nyama, Samaki,
Matunda na bidhaa zingine kutoka mwa jumuiya ya
Ulaya, Marekani, Australia, Canada na Norway.
Medvedev amesema kuwa vikwazo hivyo vitadumu
kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Amesema kuwa Urusi inatathmini kupiga marufu
mashirika ya ndege ya nchi za magharibi
yanayotumia anga ya Urusi kuingia barani Asia.
Wadadisi wanasema kuwa Urusi inategemea zaidi
chakula kutoka nje asilimia kubwa ikiwa ni kutoka
kwa nchi za magharibi.
Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog
Comments
Post a Comment