Skip to main content

Hizi ndizo sababu ya Urusi kulipiza kisasi kwa Marekani na Ulaya

Urusi imetangaza marufuku ya vyakula kutoka kwa
muungano wa Ulaya, Marekani na nchi zingine
kadha za magharibi ambazo zilikuwa zimetangaza
vikwazo dhidi ya Urusi kutokana na sera zake
nchini Ukraine.
Waziri mkuu nchini Urusi Dmitry Medvedev
aliuambia mkutano wa serikali kuwa Urusi
haitaruhusu tena uingizwaji wa Nyama, Samaki,
Matunda na bidhaa zingine kutoka mwa jumuiya ya
Ulaya, Marekani, Australia, Canada na Norway.
Medvedev amesema kuwa vikwazo hivyo vitadumu
kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Amesema kuwa Urusi inatathmini kupiga marufu
mashirika ya ndege ya nchi za magharibi
yanayotumia anga ya Urusi kuingia barani Asia.
Wadadisi wanasema kuwa Urusi inategemea zaidi
chakula kutoka nje asilimia kubwa ikiwa ni kutoka
kwa nchi za magharibi.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...