Skip to main content

Israel yaanza kushambulia Gaza

Israel imeanza kufanya mashambulizi ya angani
dhidi ya Gaza katika hatua yake ya kujibu
mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa
kipalestina dhidi ya Israel.
Mashambulizi haya yametokea baada ya
makubaliano ya siku tatu ya kusitisha vita
kuvunjika.
Serikali ya Israel imesema kuwa iliamuru jeshi
kujibu mashambulizi hayo kwa ukali.
Jeshi la Israel linasema linashambulia maeneo
yanayotumiwa na wapiganaji hao katia ukanda wa
Gaza.
Kuna taarifa za kutokea mlipuko mkubwa katika
ukanda wa Gaza na wakazi wa Palestina
wamekuwa wakiodnoka katika maeneo hayo.
Hamas ilikanusha madai ya kuongezwa muda wa
makubaliano ya kusitisha vita ikisema kuwa Israel
ilikataa kukubaliana kufanya mkutano kulingana na
matakwa yao kwa masharti ya Misri ikiwemo
kumaliza

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...