Skip to main content

Mshukiwa wa Al shabaab akamatwa Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wanasema
wamemnasa mshukiwa mkuu wa Al-Shabaab mjini
Nairobi. Mshukiwa huyo alikuwa nchini Kenya
kutafuta matibabu.
Duru zingine zinasema kuwa alikuwa mwanahabari
zamani na anashukuwa kujihuhusisha na mauaji ya
waandishi wa habari wa Somali huko Mogadishu.
Ni nadra kunasa washukiwa kama hawa
wanaoingia nchi jirani ya Kenya kupitia mipaka yake
ambayo bado haina ulinzi wa kutosha.
Mshukiwa huyo anadhaniwa kuwa Hassan Hanafi
na amekuwa akizuru Kenya mara kwa mara.
Maafisa wa polisi wameambia BBC kuwa alitiwa
nguvuni siku chache zilizopita na anahojiwa na
maafisa wa kitengo maalum cha polisi
kinachoshughulikia maswala ya ugaidi.
Maafisa wa Usalama wa Somali wamesema kuwa
ushirikiano kati ya majasusi wa Kenya na Somali
ndiko kulipelekea au kuwezesha kukamatwa kwa
mshukiwa huyo ambaye anadai ameshikwa
kimakosa na kufananishwa na mtu mwingine.
Hanafi anashukiwa kutekeleza au kufadhili mauaji
ya wanahabari mjini Mogadishu. Zaidi ya
wanahabari 20 wameuwawa katika kipindi cha
miaka mitatu iliyopita nchini Somalia.
Inaaminika kuwa Hanafi alijiunga na Al-Shabaab
mwaka 2006, baada ya Ethiopia kuondoa mamlakani
muungano wa mahakama za kiislamu.
Baadaye Hanafi alifanya kazi katika kituo cha Redio
cha Andalus, ambacho hutumiwa kama ni kipaza
sauti cha al-Shabaab nchini Somalia, na hatimaye
kujiunga na mrengo wa Al-Shabaab unaotumia
silaha hatari.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog