Skip to main content

Mshukiwa wa Al shabaab akamatwa Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wanasema
wamemnasa mshukiwa mkuu wa Al-Shabaab mjini
Nairobi. Mshukiwa huyo alikuwa nchini Kenya
kutafuta matibabu.
Duru zingine zinasema kuwa alikuwa mwanahabari
zamani na anashukuwa kujihuhusisha na mauaji ya
waandishi wa habari wa Somali huko Mogadishu.
Ni nadra kunasa washukiwa kama hawa
wanaoingia nchi jirani ya Kenya kupitia mipaka yake
ambayo bado haina ulinzi wa kutosha.
Mshukiwa huyo anadhaniwa kuwa Hassan Hanafi
na amekuwa akizuru Kenya mara kwa mara.
Maafisa wa polisi wameambia BBC kuwa alitiwa
nguvuni siku chache zilizopita na anahojiwa na
maafisa wa kitengo maalum cha polisi
kinachoshughulikia maswala ya ugaidi.
Maafisa wa Usalama wa Somali wamesema kuwa
ushirikiano kati ya majasusi wa Kenya na Somali
ndiko kulipelekea au kuwezesha kukamatwa kwa
mshukiwa huyo ambaye anadai ameshikwa
kimakosa na kufananishwa na mtu mwingine.
Hanafi anashukiwa kutekeleza au kufadhili mauaji
ya wanahabari mjini Mogadishu. Zaidi ya
wanahabari 20 wameuwawa katika kipindi cha
miaka mitatu iliyopita nchini Somalia.
Inaaminika kuwa Hanafi alijiunga na Al-Shabaab
mwaka 2006, baada ya Ethiopia kuondoa mamlakani
muungano wa mahakama za kiislamu.
Baadaye Hanafi alifanya kazi katika kituo cha Redio
cha Andalus, ambacho hutumiwa kama ni kipaza
sauti cha al-Shabaab nchini Somalia, na hatimaye
kujiunga na mrengo wa Al-Shabaab unaotumia
silaha hatari.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...