Skip to main content

PENZI LA SHILOLE NA NUH MZIWANDA LAVUNJIKA..VIPI KUHUSU TATOO ALIYOJICHORA NUH ? CHECK HAPA


Siku ya jana haikua nzuri kwa Shilole na Nuh Mziwanda 

baada ya kugomabana sana hadi Nuh Mziwanda akaamua 

kuchukua vitu vyake na kuhama Kwa Shilole, Gazeti la 

Makorokocho imezipata taarifa hizi za motomoto kupitia 

kwa mtu 

aliyekuepo eneo la tukio aliyedai kuwa yeye alishangaa 

kuskia mikikimikiki ndani ya Harrier na baadae milango ya 

gari ikafunguliwa wakatokeza wasanii wawili wa bongo flava 

ambao ni Shilole na Nuh Mziwanda na walikua 

wakirushiana maneno ghafla wakatokeza watu 

wengine wakiongozwa na Msanii Chege 

Chigunda wakaamulizia ugomvi huo bila Mafanikio 

kwani Nuh Mziwanda alikua anamuambia Shilole

amrudishie simu yake lakini Shishi alishindwa kufannya 

hivyo kwa madai eti ufunguo upo nyumbani, Kweli? wakati 

dakika chache zilizopita walikua ndani ya Gari.

Nilipomtafuta Nuh Mziwanda hakutaka kubisha na akatiririka 

A to Z ya sakata hilo, Nuh Mziwanda: Jana Usiku tulialikwa 

Chakula Usiku kwa Producer Dibanjo, mitaa ya 

Mango Garden Kinondoni, mimi na Shilole tulipofika 

pale tukamkuta mwenyeji wetu pamoja na wasanii wengine 

Chege, Julio, Dully Sykes na wengine, ikafika muda nikawa 

sijiskii vizuri nikamuomba Shishi funguo ya gari ili 

nikapumzike kwenye gari, kufika kule nikazikuta simu za 

Shilole zikiwa na missed call nyingi pamoja na msg, 

nikazikagua na kukuta msg ya mwanaume akimwambia 

Shilole "Nimeingia Dar" .... ikabidi nimuite Shilole 

na kumkaripia sana Shishi akajitetea kuwa yule si bwana 

wake, Nikamwambia sawa mpigie niskie maongezi yenu, 

lakini Shishi alipompigia sikuelewa maongezi ndo 

nikamzaba kibao cha nguvu na Shishi akajibu mapigo kwa 

kuning'ata mwilini pamoja na kidole changu 

kimevimba mpaka wakati huu, watu wakajaa eneo la 

tukio hadi kina Chege wakafika na kuanza kuamulizia

kupigana lakini mwisho wa siku Shilole alikua amenipokonya 

simu yangu nilipomuomba akakataa kuirudisha na kuondoka  eneo la tukio,

Ikabidi na mimi nisepe kwenda Nyumbani kwa Shilole 

ambako nilikua naishi nae ila nia yangu ilikua ni kwenda 

kuchukua vitu vyangu ili nihame nyumba ile, njiani karibu 

nafika nikakutana na vibaka wakaniibia mpaka viatu, 

nikaendelea na safari lakini nilipofika pale kumbe Shishi 

alikua amempigia simu Dada wa Kazi asinifungulie mlango, 

ikabidi nikae hapo nje weeee mida mida Shilole akafika na 

kupitiliza ndani akajifungia mimi nikiwa nje, asubuhi 

wakajisahau na kuacha mlango wazi ndipo nilipopata 

upenyo nikaingia na kuchukua laptop, guiter pamoja na 

nguo vyote vyangu na kumwachia nyumba yake.

WEWE MDAU UNASEMAJE KUHUSU ILI ? JE ILE TATOO 

ALIYOJICHORA NUH MZIWANDA YENYE JINA LA 

SHILOLE ATAIFANYAJE ITOKE MWILINI MWAKE ?

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...