Skip to main content

PENZI LA SHILOLE NA NUH MZIWANDA LAVUNJIKA..VIPI KUHUSU TATOO ALIYOJICHORA NUH ? CHECK HAPA


Siku ya jana haikua nzuri kwa Shilole na Nuh Mziwanda 

baada ya kugomabana sana hadi Nuh Mziwanda akaamua 

kuchukua vitu vyake na kuhama Kwa Shilole, Gazeti la 

Makorokocho imezipata taarifa hizi za motomoto kupitia 

kwa mtu 

aliyekuepo eneo la tukio aliyedai kuwa yeye alishangaa 

kuskia mikikimikiki ndani ya Harrier na baadae milango ya 

gari ikafunguliwa wakatokeza wasanii wawili wa bongo flava 

ambao ni Shilole na Nuh Mziwanda na walikua 

wakirushiana maneno ghafla wakatokeza watu 

wengine wakiongozwa na Msanii Chege 

Chigunda wakaamulizia ugomvi huo bila Mafanikio 

kwani Nuh Mziwanda alikua anamuambia Shilole

amrudishie simu yake lakini Shishi alishindwa kufannya 

hivyo kwa madai eti ufunguo upo nyumbani, Kweli? wakati 

dakika chache zilizopita walikua ndani ya Gari.

Nilipomtafuta Nuh Mziwanda hakutaka kubisha na akatiririka 

A to Z ya sakata hilo, Nuh Mziwanda: Jana Usiku tulialikwa 

Chakula Usiku kwa Producer Dibanjo, mitaa ya 

Mango Garden Kinondoni, mimi na Shilole tulipofika 

pale tukamkuta mwenyeji wetu pamoja na wasanii wengine 

Chege, Julio, Dully Sykes na wengine, ikafika muda nikawa 

sijiskii vizuri nikamuomba Shishi funguo ya gari ili 

nikapumzike kwenye gari, kufika kule nikazikuta simu za 

Shilole zikiwa na missed call nyingi pamoja na msg, 

nikazikagua na kukuta msg ya mwanaume akimwambia 

Shilole "Nimeingia Dar" .... ikabidi nimuite Shilole 

na kumkaripia sana Shishi akajitetea kuwa yule si bwana 

wake, Nikamwambia sawa mpigie niskie maongezi yenu, 

lakini Shishi alipompigia sikuelewa maongezi ndo 

nikamzaba kibao cha nguvu na Shishi akajibu mapigo kwa 

kuning'ata mwilini pamoja na kidole changu 

kimevimba mpaka wakati huu, watu wakajaa eneo la 

tukio hadi kina Chege wakafika na kuanza kuamulizia

kupigana lakini mwisho wa siku Shilole alikua amenipokonya 

simu yangu nilipomuomba akakataa kuirudisha na kuondoka  eneo la tukio,

Ikabidi na mimi nisepe kwenda Nyumbani kwa Shilole 

ambako nilikua naishi nae ila nia yangu ilikua ni kwenda 

kuchukua vitu vyangu ili nihame nyumba ile, njiani karibu 

nafika nikakutana na vibaka wakaniibia mpaka viatu, 

nikaendelea na safari lakini nilipofika pale kumbe Shishi 

alikua amempigia simu Dada wa Kazi asinifungulie mlango, 

ikabidi nikae hapo nje weeee mida mida Shilole akafika na 

kupitiliza ndani akajifungia mimi nikiwa nje, asubuhi 

wakajisahau na kuacha mlango wazi ndipo nilipopata 

upenyo nikaingia na kuchukua laptop, guiter pamoja na 

nguo vyote vyangu na kumwachia nyumba yake.

WEWE MDAU UNASEMAJE KUHUSU ILI ? JE ILE TATOO 

ALIYOJICHORA NUH MZIWANDA YENYE JINA LA 

SHILOLE ATAIFANYAJE ITOKE MWILINI MWAKE ?

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog