Skip to main content

SHILOLE, MCHUMBA’KE WAZICHAPA!

Lile penzi lililopata ‘promo’ ya kutosha ndani ya muda mfupi kati ya mwanamuziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ na Nuh Mziwanda limeingia shubiri baada ya juzikati wawili hao kuzichapa. Kisa cha wawili hao kuzibuana kinadaiwa ni baada ya Nuh kukuta sms tata ya mwanaume kwenye simu ya Shilole ambapo inadaiwa baada ya jamaa huyo kumtaka mchumba wake huyo ampigie aliyetuma meseji hiyo kukawa na kusuasua.
Mwanamuziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’.
Chanzo chetu cha habari kilichoomba jina lake lisichorwe gazetini kilitiririka: “Shilole na mchumba’ke walikuwa chumbani, mara ikaingia sms kwenye simu ya Shilole.
“Nuh alipoiona alimlazimisha Shilole ampigie jamaa aliyetuma sms na aweke ‘loud speaker’, Shilole alipoipiga ile namba, akajichanganya kidogo licha ya kuwa, jamaa alikuwa anamjua na wala hakuwa mpenzi wake ila ni washikaji tu.
Mwanamuziki na mpenzi wa Shilole, Nuh Mziwanda akipozi.
“Kuona vile si Nuh akaanza kumpiga na hapo ndipo timbwili lilipotokea. Wote waliumia ila Nuh ndiye aliyeumia zaidi, ilikuwa ni vurugu kweli, baada ya ugomvi Nuh akaondoka na mfuko kama wa rambo hivi akiwa na vitu vyake kana kwamba katimuliwa,” kilidai chanzo hicho.Baada ya kuzipata nyeti hizo, Ijumaa lilimtafuta Nuh na alipopatikana alikiri kutokea kwa ugomvi lakini hakuwa tayari kuuzungumzia kwa kirefu.
Shilole alipopatika alisema: “Ni kweli tukio lilitokea. Ni hivi, aliyenitumia ile meseji ni mdau wangu, aliniambia kuwa yuko Dar tutafutane na wala si kwa mambo ya mapenzi lakini nikashangaa Nuh analazimisha nimpigie.
“Ile napiga naongea naye, si akanipiga kofi, hapo vurugu ikatokea. Kimsingi sikutarajia, ni kweli nampenda lakini mimi nadhani bora kila mmoja achukue hamsini zake.“Nilimheshimu sana, wamekuwa wakinitongoza wanaume wengi lakini nikawa nawakatalia kwa kuwa nampenda lakini leo anakuja kunipiga kwa mtu ambaye wala sina mpango naye. Amenikasirisha sana, acha aende zake, unajua mapenzi hayaendi hivyo,” alisema Shilole.
Hata hivyo, taarifa zilizopatikana baadaye zilieleza kuwa, baada ya ugomvi huo Nuh alichukua kila kilichokuwa chake na kuondoka kwenye nyumba aliyokuwa akiishi na Shilole kwani alikuwa ni kama kahifadhiwa.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog