Skip to main content

UONGOZI WA MTAA WA NANJA KATA YA MOSHONO YAWEKA SHERIA KALI JUU YA USAFI



ARUSHA
NA MWANDISHI WETU; AMANI JAMES
Uongozi wa mtaa wa nanja kata ya moshono umekanusha kuwa sio wananchi wa mtaa huo ndio wanahusika na utupaji tataka ovyo ndani ya mtaa huo, na kusema ni watu kutoka nje ya mtaa huo ndio huleta taka hizo majira ya usiku na kuzitupa.
Hivyo mwenyekiti wa mtaa huo Lilian Mmasi amesema kuwa tayari ameshaweka walinzi kwaajili ya kuwakamata  watu wanao tupa taka ndani ya mta wake, na atakayekamatwa atalipa faini ya shilingi elfu hamsini (50000) na atawajibilka kufanya usafi ndani ya  mtaa hiyo.
Sambamba na hilo amesema kuwa walishapitisha sheria ya kila nyumba ndani ya mtaa wake kutoa shilingi elfu moja kwa kila mwezi kwa lengo la kusaidia usafi ndani ya mtaa huo, lakini hadi sasa mwitikio ya watu kutoa mchango huo ni mdogo.
Hata hivyo ameendelea kusema kuwa  kwa sasa kila mwananchi ni lazima alipe mchango huo na asipolipa atapelekwa mahakamani na kushitakiwa kwa kosa la kukataa kushiriki usafi ndani ya mtaa huo.
Mbali na hayo  pia mwenyekiti huyo amekiri kuwa vitendo vya ualifu umeongezeka mtaani hapo, lakini amewatoa hofu wananchi wake kwa kusema kuwa kwa sasa kunautaratibu wanaouandaa ambao utakomesha tatizo la ualifu ndani ya mtaa wake.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...