Skip to main content

Viongozi wa Afrika wakutana Marekani


Moja ya mikutano ya kwanza ilikuwa kati ya Rais
wa DRC Joseph Kabila na waziri wa mambo ya
kigeni wa Marekani John Kerry
Takriban viongozi hamsini kutoka nchi za Afrika
wanatarajiwa kuhudhuria mkutano wa siku tatu
utakaohitimshwa Jumatano.
Mkutano huo wa Marekani na viongozi 50 wa nchi
za Afrika uliandaliwa na idara ya biashara ya
Marekani.
Katibu wa maswala ya Biashara wa Marekani
Penny Pritzker amesema kuwa tangazo rasmi
litatolewa kwenye mkutano huo kuhusiana na
takriban dola milioni 900 zitakazotolewa kwa
mipango ya kibiashara.
Hayo yakijiri, Marais watatu, rais wa Liberia, wa
Guinea, na wa Sierra Leone wamevunja safari zao
kuhudhuria mkutano huo kufuatia janga la Ebola.
Ebola imesababisha vifo vya watu Zaidi ya 800
katika kanda ya Afrika Magharibi kwa ujumla.
Kufanyakia kwa mkutano huu ni kutimia kwa ahadi
ya Rais Obama aliyotoa mwaka uliopita alipozuru
nchi tatu za Afrika Senegal, Tanzania, na Afrika
Kusini.
Kongamano hilo litaangazia biashara kati ya
Marekani na Bara la Afrika. Kwa mujibu wa mhariri
wetu China inaongoza kwa kiwango cha biashara
wanayofanya na nchi za Afrika
Mlipuko wa homa ya Ebola umelazimisha rais
kukatiza safari yake Marekani
China inafanya biashara ya takriban dola bilioni 200
na bara la Afrika. Kiwango hicho ni Zaidi ya
maradufu kiwango cha biashara ya Marekani na
nchi za bara Afrika.
Ingawa China imeongoza, kulingana na utafiti wa
Shrika la Fedha Duniani, China ina uhusiano wa
kibiashara nan chi chache tu.
China inafuatiwa na Japan, India na Ulaya.
Hayo yakijiri, Ghana imesema itatafuta msaada
kutoka kwa Shirika la fedha duniani (IMF) ili
kuimarisha uchumi wao kwani Ghana imekuwa kati
ya nchi zilizovuta mkia kiuchumi kote ulimwenguni
mwaka huu.
Mwaka 2013, 67% ya biashara ya Afrika na
Marekani ilifannywa na nchi tano tu - Nigeria, South
Africa, Angola, Misri and Algeria.
Marekani hununua bidhaa nyingi kutoka nchi hizi
inapolinganishwa na bidhaa wanazouzia nchi hizo.
Mafuta huchangia Zaidi ya asilimia hamsini ya
bidhaa zinazouzwa kwenda Marekani.
Takrimu za uwekezaji wa kigeni wa moja kwa moja
(FDI) figures zinaonyesha mtindo fulani – mwaka
2012 74% ya fedha zilizowekezwa na nchi za kigeni
barani Afrika ziliendea nchi tano - Nigeria, Afrika
kusini, Misri, na Algeria huku Mauritius ikichukua
nafasi ya Angola na kuwa nchi ya tano katika
orodha hiyo.
Mwaka 2011, 75% ya bidhaa zilizouzwa kwenda
China kutoka nchi zilizo kusini mwa Jangwa la
Sahara zilitoka nchi tano tu, huku nchi sita
zikichukua Zaidi ya 80% ya bidhaa zilizouzwa na
China barani Afrika.
Ghana inalenga kupata msaada kufadhili miradi
yake ya kawi
Huku zaidi ya nchi hamsini zikitarajia kufaidika
kutoka kwa mkutano wao na rais wa Marekani
Barck Obama, kuna nchi ambazo hazikualikwa -
Jamhuri ya Afrika ya Kati, Eritrea, Sudan na
Zimbabwe.
Waziri wa habari wa Zimbabwe Jonathan Moyo
alipuuzilia kutoalikwa na Marekani kuhudhuria
mkutano huo wa Viongozi wa Afrika kuwa “si
jambo.”
“Tunaelewa kuwa Marekani inalenga kutimiza
matakwa yake, na inahofia kuwa Uchina imekuwa
kwa haraka na kuongoza katika mahusiano na
Afrika,” Mugabe aliarifu Gazeti linalomilikiwa na
taifa, Herald.
Watakaohudhuria wameandaliwa chajio na Rais
Obama, White House, baada ya mkutano wa leo.
Mada zitakazoangaziwa kesho (Jumatano) ni
biashara, usalama, na uongozi.
Wanaokosoa kongamano hilo wamesema kuwa
Obama hakufanya mikutano ya moja kwa moja na
marasi wan chi za Afrika.
Bwana Kerry alikutana na waziri mkuu wa Libya
Libyan Abdullah al-Thinni
Kualikwa kwa Rais Yoweri Museveni kumevutia
wanaharakati wa haki za wanaofanya mapenzi ya
jinsia moja baada ya Museveni kuidhinisha,
mapema mwaka huu, muswada ulioweka adhabu
kali dhidi ya wanaofanya mapenzi ya jinsia moja.
Mara kwa mara, Obama,ameshutumiwa kwa
kupuuza uhusiano wa Marekani na bara la Afrika
huku ikizingatiwa kuwa Obama ni Rais wa kwanza
ambaye ni Chotara wa Mwafrika na Mmarekani.
Kando na ziara ya Obama mwaka uliopita, Obama
amezuru mara mbili nchi zilizo kusini mwa jangwa
la Sahara, katika kipindi chake cha uongozi. Alipitia
Ghana kwa muda mfupi, Julai 2009, na pia
kuhudhuria mazishi ya hayati Nelson Mandela,
shujaa wa Afrika kusini.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog