Skip to main content

Wanasayansi Duniani kukutana Dar kongamano la 25 la Wajiolojia

1 (10)Mtendaji  Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST ) na Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya makongamano  ya Wajiolojia  Afrika na  wanasayansi vijana Duniani, Profesa Abdulkarim Mruma (katikati) akisisitiza jambo wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu  kongamano la 25 la Wajiolojia Afrika na   mkutano wa tatu  wa vijana wanasayansi  kutoka nchi mbalimbali duniani. Makongamano hayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 11- 16 Agosti, 2014 jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud. Wengine, kwanza kulia ni Mwenyekiti wa mtandao wa Vijana wanasayansi kwa upande wa Tanzania Steven Nyagonda, Rais wa Vijana wanasayansi Duniani  Meng Wang na Katibu wa Kamati ya Maandalizi, Profesa Nelson Boniface.
2 (9)Rais wa Wanasayansi Vijana duniani, Meng Wang (wa pili kulia) akiongea jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuelezea kuhusu mkutano wa tatu wa wanasayansi vijana kutoka nchi mbalimbali duniani, kulia ni Mwenyekiti kongamano la vijana wanasayansi upande wa Tanzania Steven Nyagonda, wengine wanaosikiliza niMtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) na Katibu wa kamati ya maandalizi, Profesa Nelson Boniface.
3 (8)Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikali, Wizara ya Nishati na Madini Badra Masoud akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wakitoa taarifa kuhusu kufanyika kwa kongamano la 25 la Wajiolojia Afrika na kongamano la tatu la wanasayansi vijana kutoka mataifa mbalimbali duniani. Kushoto ni Michael Msambi mjumbe wa kamati ya maandalizi na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) na Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya makongamano hayo, Profesa Abdulkarim Mruma (kulia).
Na Asteria Muhozya, Dar es Salaam
Tanzania imepata fursa ya kuwakutanisha wanasayansi kutoka nchi mbalimbali za Afrika na duniani katika kongamano la 25 la Wajiolojia litakalokwenda sambamba na mkutano wa tatu wa kimataifa wa mtandao wa wanasayansi vijana.
Mtendaji Mkuu  wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya makongamano hayo, Profesa Abdulkarim Mruma, ameeleza kuwa, kongamano la Wajiolojia  litafanyika tarehe 15-16 Agosti, 2014, likijikita katika
kujadili masuala ya Jiolojia na namna Afrika inavyoweza kunufaika na taaluma hiyo kupitia sekta za nishati, madini, maji, utalii, na masuala mengine yanayohusu sekta hiyo.
Aliongeza kuwa, kutokana na mada mbalimbali zitazowasilishwa, na tafiti mbalimbali zitakazoainishwa katika kongamano hilo la wajiolojia, zitasaidia kuziwezesha nchi za Afrika kutangaza na kuhamasisha maeneo ya uwekezaji kupitia sekta za madini, mafuta, gesi ikiwemo kuendeleza masuala ya utalii na kuangalia namna inavyoweza kurithisha taaluma hiyo kwa kizazi kijacho.
“Tanzania ina masuala mengi ya kijiojia, utafiti mwingi wa kisayansi kupitia taaluma hii, umefanyika Tanzania, hivyo lazima tuiambie dunia kuhusu masuala ya kijiolojia na utalii lakini hasa kile tulichonacho hapa kwetu kwa maendeleo yetu na dunia,” aliongeza Mruma.
Aliongeza kuwa, zipo tafiti ambazo zimefanywa na kampuni mbalimbali zinazofanya utafiti wa mafuta vikiwemo vyuo vikuu mbalimbali kutoka Afrika ambazo zinatarajiwa kuwasilishwa katika kongamano hilo.
Akielezea kuhusu kongamano la vijana wanasayansi litakalofanyika kuanzia tarehe 11-14 mwezi huu, Profesa Mruma alieleza kuwa, linafanyika kwa mara ya 3 tangu kuanzishwa kwake mnamo mwaka 2009 na kwamba, lengo kubwa ni kuhakikisha kwamba masuala ya sayansi ya dunia yanarithishwa ipasavyo katika kizazi kijacho kwa lengo la kuendeleza rasilimali asilia zikiwemo mafuta, nishati ya jotoardhi ikiwemo kuendeleza sayansi ya jiolojia kwa vijana kwa maendeleo ya Afrika na dunia.
Aliongeza kuwa, kongamano hilo litawashirikisha vijana wanasayansi kutoka katika nchi 45 Afrika na mabara mengine na litatoa fursa kwa vijana wanasayansi kujadili masuala mbalimbali ya kisayansi.
Naye Rais wa vijana wanasayansi duniani,  Meng Wang, alieleza kuwa, kongamano la vijana    ni muhimu kwa Afrika na hususani Tanzania  kutokana na kuwa ni miongoni mwa nchi zenye utajiri mwingi wa masuala ya kijiolojia na masuala ya utalii.
“Mengi yanayotarajiwa kuzungumzwa katika makongamano haya yanaigusa Tanzania moja kwa moja, hii ni fursa kubwa hasa kwa vijana wanasayansi na wasio wanasayansi kutokana na kwamba jambo hili litachangia kujenga ari ya vijana kuingia katika taaluma hii”, alisisitiza Wang.
Akieleza zaidi kuhusu kongamano la vijana Mwenyekiti wa   mtandaohuo wa vijana kwa upande wa Tanzania Steven Nyagonda, alieleza vijana, waliona ipo haja ya kukutana kuangalia namna masuala mbalimbali yanayoikabili dunia kupitia taaluma ya sayansi ili kuunganisha jitihada za kizazi kilichopo na kijacho jambo ambalo litawezesha kizazi kijacho kuirithi taaluma hiyo.
Aliongeza kuwa, kongamano hilo litaangalia masuala mbalimbali ikiwemo kujadili matatizo yanayotokana na taaluma hiyo, kupata uzoefu wa namna nchi nyingine duniani zinavyotumia sekta ya nishati, namna elimu ya sayansi inavyoweza kuisaidia dunia, katika mazingira, mabadiliko ya tabia nchi pamoja na masuala mengine yanayohusu dunia kupitia sayansi na jiolojia.
“Zaidi pia tunalenga kuwavutia vijana wengi wapende masomo ya sayansi hususani somo la hisabati, lakini zaidi sisi vijana wanasayansi wa Tanzania tunataka vijana wa kitanzania waipende sayansi,” alisisitiza Nyagonda.
Aliongeza kuwa, zaidi ya tafiti 400 kutoka kwa vijana wanasayansi sehemu mbalimbali duniani zimewasilishwa kwa kamati ya vijana ya dunia, ambapo kati yake tafiti 50 ziliwasilishwa na vijana wanasayansi wa watanzania.
Makongamano yote la Wajiolojia Afrika na wanasayansi vijana kutoka nchi mbalimbali duniani yanatarajiwa kufunguliwa rasmi  tarehe  11 Agosti, 2014, na Makamu wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Jakaya  Mrisho Kikwete.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog