Skip to main content

WAZIRI MKUU AALIKA WAWEKEZAJI KATIKA AFYA, KILIMO, NISHATI

images*Obasanjo asisitiza ajira kwa vijana wa Afrika
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imefungua milango kwa wawekezaji kwenye sekta zote lakini mkazi unaelekezwa zaidi kwenye sekta ya afya, kilimo hasa usindikaji mazao, nishati na miundombinu.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Oktoba 20, 2014) wakati akishiriki Mjadala wa Marais (Presidential Keynote Panel) kuhusu fursa za uwekezaji barani Afrika uliolenga kuonyesha fursa za uwekezaji zilizopo barani Afrika hasa katika nchi za Tanzania, Uganda, Ghana na Rwanda ambao umeanza leo kwenye hoteli ya Savoy, jijini London, Uingereza.
Waziri Mkuu aliwasili jijini London jana mchana kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi unaohusu uwekezaji barani Afrika (The Global African Investment Summit – TGAIS) kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete na ameshiriki mjadala huo pamoja na Rais John D. Mahama wa Ghana, Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Rais Paul Kagame wa Rwanda.
“Tunahitaji wawekezaji kwenye sekta nyingi lakini zaidi kwenye sekta ya afya katika vyuo vya tiba na uuguzi ili tupate watumishi wa kutosha, utengenezaji wa madawa na vifaa vya hospitali na ujenzi wa hospitali,” alisema.
Aliyataja maeneo mengine ya kipaumbele kuwa ni kilimo na na hasa usindikaji wa mazao, hasa ikizingatiwa kwamba asilimia kubwa ya Watanzania inategemea kilimo kwa kujikimu. “Watanzania wengi bado wanategemea kilimo kama njia yao kuu ya uzalishaji, tunahitaji pia kupata umeme wa kuendesha viwanda kutokana na gesi, makaa ya mawe pamoja na geo-thermal,” aliongeza.
Akizungumzia kuhusu uwekezaji kwenye miundombinu, Waziri Mkuu alieleza Serikali ilivyojipanga kujenga reli mpya yenye urefu zaidi ya km. 2,000 kutoka Dar es Salaam hadi Kigoma, reli ya kutoka Tanga kupitia Arusha hadi Mwanza na ujenzi wa bandari ya Bagamoyo pamoja na uimarishaji wa bandari za Tanga, Mtwara na Dar es Salaam.
Kwa upande wao, Marais wa Ghana, Uganda na Rwanda walielezea fursa zilizopo nchini mwao kwenye maeneo ya madini, miundombinu ya barabara na reli, umeme, na teknolojia ya habari na mawasiliano.
Mapema, akiwakaribisha wajumbe wa mkutano huo wa siku mbili, Mwenyekiti wa mkutano huo, Rais mstaafu wa Nigeria, Bw. Olesegun Obasanjo alisema bara la Afrika lina nafasi kubwa ya kuendeleza sekta za maenedeleo kupitia uwekezaji maliasili, Kilimo na usindikaji mazao, nishati na utalii.
“Nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara zina fursa nyingi za uwekezaji na siyo hizi nne ambazo zimewakilishwa leo hapa za Tanzania, Uganda, Ghana na Rwanda. Kuna miradi yenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani bilioni 200 ambayo itapata fursa za kunadiwa kwa wawekezaji kupitia mkutano huu,” alisema.
“Nimewaalika Marais kutoka nchi hizi nne ili watupe mwanga wa kile tunacheweza kufanya katika nchi zao… lakini vilevile tutambue katika bara la Afrika kuna vijana wengi ambao ni zaidi ya asilimia 60 ambao hawana kazi. Tutakuwa tumepotoka tusipoliangalia kundi hili. Ni lazima miradi inayotafutiwa wawekezaji ilenge kuleta ajira kwa vijana wetu, wapate kipato (wealth creation) na technology transfer,” alisema.
Mkutano huo unahudhuriwa na wakuu wa makampuni na taasisi za kibiashara zaidi 400.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog