Skip to main content

ANASWA! NJEMBA ADAIWA KURUBUNI WAKE ZA WATU KINGONO

Dustan Shekidele, Morogoro
Mji wa Morogoro umekumbwa na matukio mfululizo ya mafumanizi ambapo baada ya ticha wa shule ya msingi kufumaniwa na dereva wa bodaboda kisha jamaa kubondwa kwa kukutwa akifanya ngono na mke wa mtu vichakani na denti wa upadri kufumaniwa, mwanzoni mwa wiki hii fumanizi lingine kiboko la njemba mwenye asili ya Kiarabu limetokea.
Wakinamama (kushoto) wakimficha mwenzao (mke wa mtu) aliyenaswa kwenye ghetto la njemba mwenye asili ya Kiarabu, Hemed.
Kwenye Kata ya Mazimbu mjini hapa mwanaume aliyefahamika kwa jina moja la Hemed, anadaiwa kunaswa laivu na mke wa mtu kwenye chumba anachoishi kilichopo Mtaa wa Boma mjini hapa.
Ikiwa kazini, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilinyetishiwa kuwepo kwa ishu hiyo hivyo kufika eneo la tukio ndani ya dakika sifuri na kunasa tukio hilo likiwa bichi.
Wakinamama hao wakifanya juhudi kumtoa mke wa mtu (mwenye sidiria) eneo la tukio.
Katika fumanizi hilo lililojaza ‘inzi’ (umati), Hemed alidaiwa kuwa amekuwa na tabia ya kuwarubuni na kumwaga fedha mbuzi kwa wake za watu na kuserebuka nao ndani ya ‘geto’ lake jambo lililowafanya wenye wake zao kumwekea mtego ambao ulipofyatuka ukamnasa majira ya saa 3:00 asubuhi.
Akihojiwa na gazeti hili, mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo alisema kuwa, jamaa huyo alikuwa na mwanamke mzuri wa umbo aliyetajwa kwa jina moja la Husna ambaye alikutwa chumbani kwa Hemed.
Mashuhuda wa tukio hilo wakipiga chabo dirishani kwa mwarabu aliyenaswa.
Akizungumza na mwanahabari wetu kwenye eneo la tukio, mume wa Husna aliyejitambulisha kwa jina moja la Siri alikuwa na haya ya kusema:
“Nilimuaga mke wangu nakwenda Mwanza kwenye shughuli zangu za biashara. Nikiwa Mwanza nilijulishwa na majirani kwamba mke wangu kila siku anaacha watoto wetu kwa mama yake na kwenda kulala kwa Mwarabu.
Raia wenye Hasira kali wakiwa eneo la tukio.
“Ukweli kama mwanaume nilipatwa na hasira, nikatafuta ndege nikarudi hapa (Morogoro).
“Nimeelekezwa kwa Mwarabu na jamaa waliokuwa wamemwekea mtego, nilipofika nilichungulia dirishani, nikamuona mke wangu na Mwarabu wakiwa kitandani.
“Nilihisi kupooza mwili na roho ilikuwa inaniuma sana.”
Mwarabu(mwenye koti jekundu) aliyenaswa na mke wa mtu akiwa chini ya ulinzi.
Aliongeza: “Mimi na mke wangu tumefunga ndoa ya Kiislamu, tuna  watoto wawili, mmoja ana umri wa miaka mitano na wa pili ana mwaka mmoja na miezi saba.
“Cha ajabu mtoto wa pili hadi sasa hatembei. Kwa tukio kama hili nahisi mke wangu amembembenda.”
Mtuhumiwa (mwarabu) akichukuliwa kwa mahojiano zaidi.
Kwa upande wake Husna ambaye alisitiriwa na wanawake wenzake waliokuwa wakimficha, alipotakiwa kuzungumzia tukio hilo, alimjia juu mwanahabari wetu na kumtolea maneno ya shombo.
Naye Mwarabu huyo alipohojiwa, pia alimtolea vitisho ‘kamanda’ wetu.
Kufuatia wingi wa watu, wawili hao walifungiwa chumbani lakini raia wenye hasira kali wakavunja mlango na kuwashushia kichapo.



Baadaye viongozi wa Kata ya Mazimbu wakiongozwa na Afisa Mtendaji, Brioht Sospeter na polisi mmoja walifika eneo la tukio wakawaondoa wawili hao na kuwapeleka ofisi ya kata kwa mahojiano zaidi.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog