Skip to main content

FAIDA, HASARA ZA WAPENZI KUFANYA KAZI OFISI MOJA

Ni Ijumaa nyingine nzuri ninapokukaribisha msomaji wangu katika zulia jekundu la uwanja wetu huu ambao ni maalum kwa mambo yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Mada ambayo ningependa kujadiliana nawe msomaji wangu ni kama inavyojieleza kwenye kichwa cha habari.
Yawezekana wewe ni mwanaume au mwanamke ambaye unafanya kazi na umpendaye, awe ni mke, mchumba au mpenzi. Je, kuna faida gani unazozipata kutokana na kufanya kazi ofisi moja na umpendaye? Vipi kuhusu hasara na changamoto?
Bila kujali kama mmekutana sehemu ya kazi na kuanzisha uhusiano wa kimapenzi au mlianza kabla lakini baadaye mkajikuta mkifanya kazi sehemu moja, lazima ujue kwamba zipo faida lakini kama hiyo haitoshi, zipo changamoto nyingi ambazo ni lazima ujue namna ya kuzishughulikia ili kuwa na uhusiano bora wa kimapenzi na amani ya nafsi yako.
FAIDA KUBWA
Faida kubwa ya kufanya kazi pamoja ni kwamba unapata muda wa kutosha wa kuwa karibu na mwenzi wako. Kwa wale ambao wana hulka ya wivu au wanashindwa kuwaamini wenzi wao, kufanya kazi pamoja huwasaidia kutulia kwa sababu watakuwa na uhakika na mahali walipo au shughuli wanayoifanya wenzi wao kwa sababu wanawaona na wanashinda nao siku nzima.
CHANGAMOTO ZAKE
Changamoto za kufanya kazi ofisi moja na umpendaye, huwa ni nyingi kuliko faida na usipokuwa makini zinaweza kusababisha kuyumba, kulegalega au kuvunjika kabisa kwa uhusiano wako wa kimapenzi na umpendaye.
Changamoto ya kwanza na kubwa huwa ni kushindwa kutenganisha mambo ya nyumbani na mambo ya kazini. Kama jana usiku mlikorofishana na mwenzi wako, uwezekano mkubwa ni kwamba chuki za nyumbani utazileta kazini na matokeo yake, ufanisi wa kazi utapungua.
Pia, kihulka binadamu ameumbwa kuwa na muda wa kukutana na watu wengine, kubadilishana mawazo na kuingiza vitu vipya kichwani. Sasa inapotokea wewe na mwenzi wako mnafanya kazi pamoja, ni kwamba mtajikuta muda mwingi mkiutumia pamoja na kushindwa kuchanganyika na watu wengine, jambo ambalo kitaalamu husababisha msongo wa mawazo.
Changamoto nyingine, ni pale inapotokea mmoja kati yenu ameharibu kazi. Kwa kawaida, mabosi huwa wakali inapotokea mfanyakazi amefanya kosa lililosababisha hasara, iwe ni kwa bahati mbaya au makusudi.
Mabosi wengine hufikia hatua ya kuwafokea au kuwaadhibu waliofanya uzembe huo. Utajisikiaje mwenzi wako anapoadhibiwa mbele yako kwa sababu amefanya makosa kazini?
Vipi kuhusu mwenzi wako anapokorofishana na wafanyakazi wenzake? Wahenga walisema vikombe vinapokaa kabatini pamoja, havitakosa kugongana. Hivyo mwenzi wako anapofanya kazi, ni lazima itatokea akakorofishana na wafanyakazi wenzake.
Je, utajisikiaje kusikia mwenzi wako akitukanana au kupandishiana na mtu mwingine kwa sababu ya kazi? Kimsingi utaambulia ‘stress’ za kutosha ambazo huenda zikapunguza ufanisi wako wa kazi.
NINI CHA KUFANYA?
Licha ya changamoto nilizozieleza hapo juu, wapo wapendanao wengi ambao huweza kudumu na kuishi maisha ya furaha japokuwa wanafanya kazi ofisi moja. Hata wewe unaweza kuwa na uhusiano bora licha ya kuwa unafanya kazi ofisi moja na mwenzi wako endapo utazingatia mambo ya msingi ambayo nitakufafanulia kwa kina kwenye sehemu ya pili ya makala haya.



Usikose wiki ijayo ambapo tutaangalia kwa kina mbinu za kupambana na matatizo yanayotokea kazini kwa sababu ya kufanya kazi ofisi moja na mwenzi wako.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog