Skip to main content

HIVI NDIVYO UJENZI HOLELA UNAVYOENDELEA SHINYANGA

Leo naibu mstahaki meya manispaa ya Shinyanga David Nkulila amefanya ziara mjini Shinyanga kuangalia sura ya mji huo kubwa zaidi ikiwa ni kuangalia ujenzi wa majengo mbalimbali kama yanazingatia sheria ya mwaka 2001 inayotaka kujengwa kwa maghorofa tu katikati ya mji na si vinginevyo.Pichani ni jengo lililoko mkabala na Bakurutu linalotiliwa  wasiwasi kuwa limejengwa bila kufuata utaratibu ambapo wataalam kutoka ofisi ya mipango mji wameahidi kulifanyia uchunguzi baada ya leo kulikagua na kubaini kuwa mipaka ya jengo hilo haionekani

Kushoto ni naibu meya wa manispaa ya Shinyanga David Nkulila akilinyoshea mkono jengo hilo na kuongeza kuwa kuna taarifa kuwa halijajengwa kwa kufuata taratibu zinazotakiwa,katikati ni mhandisi wa halmashauri ya manispaa ya Shinyanga  Simon Ngagani akifuatiwa na kaimu mkuu wa idara ya mipango mji,ardhi na maliasili manispaa ya Shinyanga bwana Uria Lunda 

 Hata hivyo Mhandisi wa halmashauri ya manispaa ya Shinyanga  Simon Ngagani alisema yapo baadhi ya majengo mjini Shinyanga yamejengwa kwa kukiuka sheria huku akidai kuwa kuna baadhi ya wananchi wanajenga usiku ili wasibainike kuwa wanajenga kinyume cha sheria.Wengine wanaweka uzio na usipoangalia unaweza kufikiri wanajenga ghorofa kumbe la hasha!!

Hili jengo ni mali ya la Edgar Kasembo lililopo mtaa wa Buzuka ambapo naibu meya David Nkulila amemwagiza mhandisi wa manispaa ya Shinyanga kusimamia zoezi la kubomolewa kwani hakuna taarifa za ujenzi wa jengo hilo lililozungushiwa uzio kana kwamba kuna ghorofa linajengwa ndani hata mhandisi hana taarifa juu ya ujenzi huo

Naibu meya akionesha jengo hilo ambalo linadaiwa kujengwa kinyume cha sheria huku mwenye mali akidaiwa kuwa yuko nje ya nchi.Pamoja na mambo mengine Nkulila alisema kuendelea kujengwa kwa majengo kinyume cha sheria kunatokana na kuwepo kwa mianya ya rushwa miongoni mwa watendaji wa serikali

Hili jengo linatakiwa kubomolewa mara moja,limezungushiwa uzio utafikiri kuna ghorofa linajengwa

Naibu meya huyo aliwataka wananchi kufuata sheria na taratibu zilizowekwa ili kuepuka lawama zisizokuwa za lazima pale wanapoamuliwa kubomoa nyumba zao.

Hapa ni katika mtaa wa Kaunda mjini Shinyanga.Pichani ni jengo lililojengwa kinyume cha sheria.Mhandisi wa manispaa amesema hajui linajengwa saa ngapi.Jengo linabomolewa vipande vipande na kujengwa wakati majengo yasiyo maghorofa hayaruhusiwi katikati ya mji

Msafara wa naibu meya wa manispaa ya Shinyanga ukishuhudia jengo linalojengwa kinyemela,na haijulikani linajengwa mchana ama usiku.Jengo  hilo liko katika sura ya kuwa jengo kwa ajili ya biashara.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...