Skip to main content

HIVI NDIVYO UJENZI HOLELA UNAVYOENDELEA SHINYANGA

Leo naibu mstahaki meya manispaa ya Shinyanga David Nkulila amefanya ziara mjini Shinyanga kuangalia sura ya mji huo kubwa zaidi ikiwa ni kuangalia ujenzi wa majengo mbalimbali kama yanazingatia sheria ya mwaka 2001 inayotaka kujengwa kwa maghorofa tu katikati ya mji na si vinginevyo.Pichani ni jengo lililoko mkabala na Bakurutu linalotiliwa  wasiwasi kuwa limejengwa bila kufuata utaratibu ambapo wataalam kutoka ofisi ya mipango mji wameahidi kulifanyia uchunguzi baada ya leo kulikagua na kubaini kuwa mipaka ya jengo hilo haionekani

Kushoto ni naibu meya wa manispaa ya Shinyanga David Nkulila akilinyoshea mkono jengo hilo na kuongeza kuwa kuna taarifa kuwa halijajengwa kwa kufuata taratibu zinazotakiwa,katikati ni mhandisi wa halmashauri ya manispaa ya Shinyanga  Simon Ngagani akifuatiwa na kaimu mkuu wa idara ya mipango mji,ardhi na maliasili manispaa ya Shinyanga bwana Uria Lunda 

 Hata hivyo Mhandisi wa halmashauri ya manispaa ya Shinyanga  Simon Ngagani alisema yapo baadhi ya majengo mjini Shinyanga yamejengwa kwa kukiuka sheria huku akidai kuwa kuna baadhi ya wananchi wanajenga usiku ili wasibainike kuwa wanajenga kinyume cha sheria.Wengine wanaweka uzio na usipoangalia unaweza kufikiri wanajenga ghorofa kumbe la hasha!!

Hili jengo ni mali ya la Edgar Kasembo lililopo mtaa wa Buzuka ambapo naibu meya David Nkulila amemwagiza mhandisi wa manispaa ya Shinyanga kusimamia zoezi la kubomolewa kwani hakuna taarifa za ujenzi wa jengo hilo lililozungushiwa uzio kana kwamba kuna ghorofa linajengwa ndani hata mhandisi hana taarifa juu ya ujenzi huo

Naibu meya akionesha jengo hilo ambalo linadaiwa kujengwa kinyume cha sheria huku mwenye mali akidaiwa kuwa yuko nje ya nchi.Pamoja na mambo mengine Nkulila alisema kuendelea kujengwa kwa majengo kinyume cha sheria kunatokana na kuwepo kwa mianya ya rushwa miongoni mwa watendaji wa serikali

Hili jengo linatakiwa kubomolewa mara moja,limezungushiwa uzio utafikiri kuna ghorofa linajengwa

Naibu meya huyo aliwataka wananchi kufuata sheria na taratibu zilizowekwa ili kuepuka lawama zisizokuwa za lazima pale wanapoamuliwa kubomoa nyumba zao.

Hapa ni katika mtaa wa Kaunda mjini Shinyanga.Pichani ni jengo lililojengwa kinyume cha sheria.Mhandisi wa manispaa amesema hajui linajengwa saa ngapi.Jengo linabomolewa vipande vipande na kujengwa wakati majengo yasiyo maghorofa hayaruhusiwi katikati ya mji

Msafara wa naibu meya wa manispaa ya Shinyanga ukishuhudia jengo linalojengwa kinyemela,na haijulikani linajengwa mchana ama usiku.Jengo  hilo liko katika sura ya kuwa jengo kwa ajili ya biashara.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog