Skip to main content

WABUNGE WA TANZANIA WALIOKUFA KWA AJALI

WIKI iliyopita tuliwaletea marais waliouawa kwa risasi wakiwa madarakani. Wiki hii tunawaletea wabunge wa Tanzania waliokufa kwa ajali, iwe ndege, gari au usafiri wowote ule!
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Tarime (Chadema), marehemu Chacha Zakayo Wangwe enzi za uhai wake.
Hussein Ramadhan Shekilango; alikuwa Mbunge wa Jimbo la Korogwe (CCM) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (utawala). Alifariki dunia Mei 11, 1980 kwa ajali ya ndege iliyotokea kwenye milima ya Arusha. Kumuenzi, serikali iliipa jina Barabara ya Shekilango iliyopo Sinza, Dar.
Juma Jamaldin Akukweti; alikuwa Mbunge wa Jimbo la Tunduru (CCM) na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge). Alifariki Januari 4, 2007 Hospitali ya Johannesburg, siku chache baada ya ajali ya ndege iliyoanguka ikitaka kupaa Desemba 16, 2006 jijini Mbeya alikokuwa kwa shughuli za kikazi.
Aliyekuwa Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Jimbo la Uzini, Zanzibar, Mussa Khamis Silima enzi za uhai wake.
Chacha Zakayo Wangwe; alikuwa Mbunge wa Jimbo la Tarime (Chadema). Alifariki dunia papo hapo kwa ajali mbaya ya gari dogo aina ya Toyota Corolla iliyotokea maeneo ya Kongwa, Dodoma, saa 2: 55 usiku wa Julai 27, 2008 akiwa njiani kuelekea msibani Dar.
Salome Joseph Mbatia; alikuwa Mbunge wa Viti Maalum-CCM na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto. Alifariki papo hapo Oktoba 23, 2010 katika ajali mbaya ya gari lake aina ya Nissan Patrol kugongana uso kwa uso na Fusso maeneo ya Kibena, akiwa njiani kwenda Njombe.
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum-CCM na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Salome Joseph Mbatia enzi za uhai wake.
Regia Estelatus Mtema; alikuwa Mbuge wa Viti Maalum (Chadema). Alifariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Toyota Land Cruiser iliyotokea maeneo ya Ruvu Darajani, Mkoa wa Pwani Januari 14, 2012 akiwa njiani kutoka Dar kwenda Ifakara kukagua kiwanja alichopewa na wazazi wake.
Mussa Khamis Silima; alikuwa Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Jimbo la Uzini, Zanzibar. Alifariki katika ajali ya gari Agosti 23, 2011 maeneo ya Nzuguni, Dodoma pamoja na mkewe, Mwanaheri Fahari. Marehemu alikuwa akielekea bungeni Dodoma kutokea Dar.
Aliyekuwa Mbuge wa Viti Maalum (Chadema), Regia Estelatus Mtema enzi za uhai wake.
Edward Moringe Sokoine; alikuwa Mbunge wa Jimbo la
Monduli (CCM) na Waziri Mkuu wa Tanzania. Alifariki kwa ajali Aprili 12, 1984 eneo la Dumila, Morogoro. Ili kumuenzi, serikali imetoa jina la Barabara ya Sokoine, ipo Posta jijini Dar na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b