Miss South Africa Rolene Strauss ameibuka
mrembo wa dunia wa mashindano ya Miss World
2014, akiwashinda zaidi ya warembo 120 katika
shindano lililofanyika jijini London, Uingereza.
Mshindi huyo wa shindano la Miss World 2014
alivikwa taji la urembo na mshindi wa Miss World
2013, Megan Young kutoka Ufilipino na
kushangiliwa na mshindi wa pili na wa tatu, ambao
ni Miss Hungary Edina Kulcsár na Miss Marekani
Elizabeth Safrit. Kwa mujibu wa ukurasa rasmi wa
mtandao wa Internet, mshindi huyo mwenye umri
wa miaka 22 ni mwanafunzi wa mwaka wa nne wa
shahada ya udaktari na anafurahia kucheza
michezo ya golf, netboli na kuendesha baiskeli na
kujisomea vitabu vya burudani na elimu.
Washindi wa tano wa mwanzo katika mashindano
ya urembo ya mwaka huu walikuwa kutoka
Uingereza, Marekani, Hungary, Australia na Afrika
Kusini.
Shindano la Miss World 2014 pia lilikuwa na
mshindano tanzu na mataji mengi, ambayo
yalifanyika kuelekea siku ya fainali kuu.
Kwa mara ya kwanza, washindani watano
walitangazwa kuwa Warembo wa Miss World 2014
wenye Lengo: Washindi hao ni Miss India, Miss
Kenya, Miss Brazil, Miss Indonesia and Miss
Guyana.
Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog
Comments
Post a Comment