Skip to main content

Kifi cha Tino madhahabu yazua hofu Bongo move

Msanii huyo aliyetamba katika uigizaji akiwa na
Dude katika kipindi maarufu cha Bongo Dar es
Salaam, kwa muda wa miaka saba na baadaye
kuingia kwenye filamu alikuwa akiugua ugonjwa wa
moyo, kiasi cha kumfanya arejee nyumbani kwao
kwa ajili ya matibabu, ambayo hata hivyo,
yameshindwa kunusuru uhai wake.
Kwa mujibu wa GPL, kifo hicho kimeibua hofu upya
kwa wasanii wa Bongo Muvi, hasa ikikumbukwa
kuwa mchunguji mmoja (jina tunalihifadhi) aliwahi
kutabiri kuwa, wimbi hilo la vifo litaendelea tena
mwaka huu kwa wasanii na watu wengine maarufu,
wakiwemo wanasiasa hivyo kuwataka kumrudia
Mungu.
Wasanii kadhaa waliozungumza na  Gazeti la Ijumaa
baada ya taarifa za msiba huo walionesha hofu ya
kifo waliyonayo lakini wengi wakasema Kifo cha
Tino ni mipango ya Mungu hivyo kila mmoja
ajiandae tu.
Msanii aliyewahi kufanya kazi kwa karibu na Tino,
Kulwa Kikumba ‘Dude’ alisema: “ Dah! Ni kweli
jamaa katutoka, kikubwa tumuombee na hilo la hofu
ni vyema kila mmoja akawa nayo ili aweze
kujiandaa kwa safari.”
Katika kuonesha kuweweseka, msanii mwingine wa
filamu, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ alisema: “Mimi
sitakufa kwa kuwa niko karibu na Mungu,
watakaokufa ni wale walio mbali na Mungu.”
Msanii mwingine, Isabela alisema kifo cha Tino
kimemshtua mno na kusema ni mapenzi ya Mungu,
lakini akaponda utabiri wa mchungaji akisema
hajawahi kuamini mambo hayo, kauli ambayo pia
ilitolewa na Rose Ndauka.
Hadi gazeti hili linakwenda mitamboni, kulikuwa
hakuna taarifa rasmi zilizotolewa juu ya mazishi ya
msanii huyo.Mungu Ilaze roho ya Marehemu mahali
pema peponi. Amina- Mhariri
Imeandikwa na Hamida Hassan, Gladness Mallya na
Deogratius Mongela
PICHA: Tino enzi za uhai wake.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog