Skip to main content

Kifi cha Tino madhahabu yazua hofu Bongo move

Msanii huyo aliyetamba katika uigizaji akiwa na
Dude katika kipindi maarufu cha Bongo Dar es
Salaam, kwa muda wa miaka saba na baadaye
kuingia kwenye filamu alikuwa akiugua ugonjwa wa
moyo, kiasi cha kumfanya arejee nyumbani kwao
kwa ajili ya matibabu, ambayo hata hivyo,
yameshindwa kunusuru uhai wake.
Kwa mujibu wa GPL, kifo hicho kimeibua hofu upya
kwa wasanii wa Bongo Muvi, hasa ikikumbukwa
kuwa mchunguji mmoja (jina tunalihifadhi) aliwahi
kutabiri kuwa, wimbi hilo la vifo litaendelea tena
mwaka huu kwa wasanii na watu wengine maarufu,
wakiwemo wanasiasa hivyo kuwataka kumrudia
Mungu.
Wasanii kadhaa waliozungumza na  Gazeti la Ijumaa
baada ya taarifa za msiba huo walionesha hofu ya
kifo waliyonayo lakini wengi wakasema Kifo cha
Tino ni mipango ya Mungu hivyo kila mmoja
ajiandae tu.
Msanii aliyewahi kufanya kazi kwa karibu na Tino,
Kulwa Kikumba ‘Dude’ alisema: “ Dah! Ni kweli
jamaa katutoka, kikubwa tumuombee na hilo la hofu
ni vyema kila mmoja akawa nayo ili aweze
kujiandaa kwa safari.”
Katika kuonesha kuweweseka, msanii mwingine wa
filamu, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ alisema: “Mimi
sitakufa kwa kuwa niko karibu na Mungu,
watakaokufa ni wale walio mbali na Mungu.”
Msanii mwingine, Isabela alisema kifo cha Tino
kimemshtua mno na kusema ni mapenzi ya Mungu,
lakini akaponda utabiri wa mchungaji akisema
hajawahi kuamini mambo hayo, kauli ambayo pia
ilitolewa na Rose Ndauka.
Hadi gazeti hili linakwenda mitamboni, kulikuwa
hakuna taarifa rasmi zilizotolewa juu ya mazishi ya
msanii huyo.Mungu Ilaze roho ya Marehemu mahali
pema peponi. Amina- Mhariri
Imeandikwa na Hamida Hassan, Gladness Mallya na
Deogratius Mongela
PICHA: Tino enzi za uhai wake.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...