Skip to main content

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AITEKA CHEMBA MKOANI DODOMA

Katibu Mkuu Kinana katika ziara hiyo anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM na viongozi mbalimbali wa wilaya na mkoa wa Dodoma, Kinana ataendelea  na ziara kesho katika wilaya ya Kondoa Kabla ya kuendelea katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-CHEMBA-DODOMA) 2Umati wa wananchi waliojitokeza katika mkutano huo ukimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana hayupo pichani wakati alipokuwa akizungumza na wananchi hao na kuwaasa kujitokeza kwa wingi kijiandikisha ili kupata nafasi ya kushiriki katika upigaji kura ya maoni Katiba inayopendekezwa.  3 4Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati alipokuwa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Itolwa. 5Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Mh. Adam Kimbisa akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ili kuzungumza na wananchi. 6Nape Nnauye akiwaeleza ukweli umati wa wananchi wakuojitokeza  kwa wingi katika uwanja wa Itolwa wilayani Chemba mkoa wa Dodoma. 7Naibu Waziri wa Wiazara ya Habari, Vijana. Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ili kuongea na wananchi. 8,Mkuu wa wilaya ya Chemba Mh. Ramadhan Maneno akijitambulishwa kwa wananchi. 8Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kazi ya kupiga misumari katika paa la jengo la ofisi ya serikali ya kijiji cha  Babayu. 9Akina mama wakimpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati alipowasili katika kijiji cha Itolwa. 10Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na ujumbe wake wakielekea eneo la mkutano katika kijiji cha Itolwa. 11Umati wa wananchi wakielekea katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenyekijiji cha Itolwa. 12Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amekaa chini kwenye kigoda wakati akipakwa  na kuvishwa mgorole kama ishara ya heshima ya wazee wa Chemba. 13Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu wilaya ya Chemba mkoani Dodoma 15Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Galawa kushoto na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Mh. Adam Kimbisa wakipiga plasta katika ukuta wa josho linalokarabatiwa katika kijiji cha Gwandi. 16Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akijitambulisha kwa wananchi katika kijiji cha Gwandi wilayani Chemba. 17Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akimtambulisha kwa wananchi kijana mmoja jina lake halikupatikana mara moja  akiwa amevalia kofia ya Chadema katika kijiji cha Gwandi wilayani Chemba kijana huyo alizawadiwa shilimgi elfu 20,000. 18Wananchi wa kijiji cha Gwandi wilayani Chemba wakishiriki katika ukarabati wa josho ambalo lilijengwa mwaka 1969 na Mwalimu J.K Nyerere  19Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akishiriki kazi ya kujenga makenchi tayari  kwa kupaua ofisi ya kata  20Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Galawa  akijitambulisha kwa wananchi wakati wa mkutano wa hadhara katika kijiji cha Itolwa.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...