Skip to main content

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AITEKA CHEMBA MKOANI DODOMA

Katibu Mkuu Kinana katika ziara hiyo anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM na viongozi mbalimbali wa wilaya na mkoa wa Dodoma, Kinana ataendelea  na ziara kesho katika wilaya ya Kondoa Kabla ya kuendelea katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-CHEMBA-DODOMA) 2Umati wa wananchi waliojitokeza katika mkutano huo ukimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana hayupo pichani wakati alipokuwa akizungumza na wananchi hao na kuwaasa kujitokeza kwa wingi kijiandikisha ili kupata nafasi ya kushiriki katika upigaji kura ya maoni Katiba inayopendekezwa.  3 4Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati alipokuwa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Itolwa. 5Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Mh. Adam Kimbisa akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ili kuzungumza na wananchi. 6Nape Nnauye akiwaeleza ukweli umati wa wananchi wakuojitokeza  kwa wingi katika uwanja wa Itolwa wilayani Chemba mkoa wa Dodoma. 7Naibu Waziri wa Wiazara ya Habari, Vijana. Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ili kuongea na wananchi. 8,Mkuu wa wilaya ya Chemba Mh. Ramadhan Maneno akijitambulishwa kwa wananchi. 8Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kazi ya kupiga misumari katika paa la jengo la ofisi ya serikali ya kijiji cha  Babayu. 9Akina mama wakimpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati alipowasili katika kijiji cha Itolwa. 10Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na ujumbe wake wakielekea eneo la mkutano katika kijiji cha Itolwa. 11Umati wa wananchi wakielekea katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenyekijiji cha Itolwa. 12Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amekaa chini kwenye kigoda wakati akipakwa  na kuvishwa mgorole kama ishara ya heshima ya wazee wa Chemba. 13Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu wilaya ya Chemba mkoani Dodoma 15Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Galawa kushoto na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Mh. Adam Kimbisa wakipiga plasta katika ukuta wa josho linalokarabatiwa katika kijiji cha Gwandi. 16Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akijitambulisha kwa wananchi katika kijiji cha Gwandi wilayani Chemba. 17Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akimtambulisha kwa wananchi kijana mmoja jina lake halikupatikana mara moja  akiwa amevalia kofia ya Chadema katika kijiji cha Gwandi wilayani Chemba kijana huyo alizawadiwa shilimgi elfu 20,000. 18Wananchi wa kijiji cha Gwandi wilayani Chemba wakishiriki katika ukarabati wa josho ambalo lilijengwa mwaka 1969 na Mwalimu J.K Nyerere  19Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akishiriki kazi ya kujenga makenchi tayari  kwa kupaua ofisi ya kata  20Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Galawa  akijitambulisha kwa wananchi wakati wa mkutano wa hadhara katika kijiji cha Itolwa.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b