Skip to main content

KOCHA MARSH AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Sylvestre Marsh enzi za uhai wake.
Na Mwandishi Wetu
ALIYEKUWA kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Sylvestre Marsh, amefariki dunia asubuhi ya leo.
Marsh alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuungua maradhi ya saratani ya koo kwa muda mrefu, awali alilazwa hapo akapata nafuu na kupelekwa kwao Mwanza, lakini wiki iliyopita alirudishwa tena na ndipo umauti ulipomkuta.
Sylvestre Marsh enzi za uhai wake akiwa na Kim Poulsen.
Marsh ambaye aliwahi kuipa mafanikio makubwa klabu ya Kagera Sugar, amewahi kufundisha soka kwa mafanikio makubwa sana hapa nchini kuanzia mwaka 2003, alipokuwa kocha msaidizi wa timu ya vijana, chini ya Abdallah Kibadeni.
Mwaka 2006, alipandishwa timu ya wakubwa na kuwa kocha msaidizi chini ya Mbrazil Marcio Maximo na baadaye akawa chini ya Wadenish, Kim Poulsen na Jan Poulsen.
Hata hivyo, tangu mwaka jana kocha huyo amekuwa hana timu anayofundishwa baada ya kuondolewa kama msaidizi wa Taifa Stars, lakini mara nyingi amekuwa akijihusisha na kituo chake cha soka cha Marsh Academy, kilichopo Mwanza.
Taarifa zinasema kuwa msiba upo nyumbani kwake mtaa wa Usumau, Mirongo jijini Mwanza.
Mafanikio:
Marsh ni moja ya makocha wenye mafanikio makubwa sana kwenye soka la Tanzania, kwani mwaka 2009, akiwa kocha msaidizi wa Taifa Stars, aliiwezesha timu hiyo kufuzu fainali za Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN).
Mwaka 2003 akiwa kocha msaidizi wa timu ya vijana chini ya miaka 17 aliiwezesha kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika.
Hata hivyo, timu hiyo ilitolewa kutokana na mchezaji Nurdin Bakari kuwa na umri wa zaidi ya miaka 17.
Akiwa na timu ya Kagera Sugar, Marsh aliiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa Kombe la Tusker mwaka 2005.
Pia amewahi kuzifundisha timu za Toto African ya Mwanza na Azam FC ya Dar es Salaam.
Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...