Skip to main content

KOCHA MARSH AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Sylvestre Marsh enzi za uhai wake.
Na Mwandishi Wetu
ALIYEKUWA kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Sylvestre Marsh, amefariki dunia asubuhi ya leo.
Marsh alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuungua maradhi ya saratani ya koo kwa muda mrefu, awali alilazwa hapo akapata nafuu na kupelekwa kwao Mwanza, lakini wiki iliyopita alirudishwa tena na ndipo umauti ulipomkuta.
Sylvestre Marsh enzi za uhai wake akiwa na Kim Poulsen.
Marsh ambaye aliwahi kuipa mafanikio makubwa klabu ya Kagera Sugar, amewahi kufundisha soka kwa mafanikio makubwa sana hapa nchini kuanzia mwaka 2003, alipokuwa kocha msaidizi wa timu ya vijana, chini ya Abdallah Kibadeni.
Mwaka 2006, alipandishwa timu ya wakubwa na kuwa kocha msaidizi chini ya Mbrazil Marcio Maximo na baadaye akawa chini ya Wadenish, Kim Poulsen na Jan Poulsen.
Hata hivyo, tangu mwaka jana kocha huyo amekuwa hana timu anayofundishwa baada ya kuondolewa kama msaidizi wa Taifa Stars, lakini mara nyingi amekuwa akijihusisha na kituo chake cha soka cha Marsh Academy, kilichopo Mwanza.
Taarifa zinasema kuwa msiba upo nyumbani kwake mtaa wa Usumau, Mirongo jijini Mwanza.
Mafanikio:
Marsh ni moja ya makocha wenye mafanikio makubwa sana kwenye soka la Tanzania, kwani mwaka 2009, akiwa kocha msaidizi wa Taifa Stars, aliiwezesha timu hiyo kufuzu fainali za Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN).
Mwaka 2003 akiwa kocha msaidizi wa timu ya vijana chini ya miaka 17 aliiwezesha kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika.
Hata hivyo, timu hiyo ilitolewa kutokana na mchezaji Nurdin Bakari kuwa na umri wa zaidi ya miaka 17.
Akiwa na timu ya Kagera Sugar, Marsh aliiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa Kombe la Tusker mwaka 2005.
Pia amewahi kuzifundisha timu za Toto African ya Mwanza na Azam FC ya Dar es Salaam.
Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog