Skip to main content

MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA KIMATAIFA WA “LUGINA AFRICAN MIDWIVES RESEARCH NETWORK

1
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akisalimiana na Kaimu Muuguzi Mkuu wa serikali Dkt. Amalberga Kasangala mara baada ya kuwasili kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach kufungua rasmi “The Scientific Conference for Lugina Africa Midwives Research Network-LAMRN” tarehe 11.3.2015. Aliyesimama kushoto kwa Mama Salma ni Ndugu Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni akifuatiwa na Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
6
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifungua rasmi mkutano wa kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” uliofanyika katika Hoteli ya Kunduchi Beach hapa Dr es Salaam tarehe 11.3.2015.
2
Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano wa Kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano huo.
3
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA, Mama Salma Kikwete pamoja na viongozi kwenye meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano.
5
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikabidhi tuzo Maalum kwa Bwana Maximillan Lugina, iliyotolewa na wajumbe wa mkutano wa “Lugina Africa Midwives Research Network” kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa mtandao huo marehemu Profesa Helen Lugina ambaye ni mkewe. Profesa Helen alikuwa ni Muuguzi kutoka Tanzania aliyeasisi mkutano wa kwanza wa mtandao huo hapa nchini mwaka 1992.
8
Wawakilishi mbalimbali kutoka nchi za Africa wanaohudhuria mkutano wa kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” wakimzawadia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete mgolole mara baada ya kufungua rasmi mkutano huo huko Kunduchi Beach Hotel tarehe 11.3.2015.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b