Skip to main content

MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA KIMATAIFA WA “LUGINA AFRICAN MIDWIVES RESEARCH NETWORK

1
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akisalimiana na Kaimu Muuguzi Mkuu wa serikali Dkt. Amalberga Kasangala mara baada ya kuwasili kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach kufungua rasmi “The Scientific Conference for Lugina Africa Midwives Research Network-LAMRN” tarehe 11.3.2015. Aliyesimama kushoto kwa Mama Salma ni Ndugu Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni akifuatiwa na Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
6
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifungua rasmi mkutano wa kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” uliofanyika katika Hoteli ya Kunduchi Beach hapa Dr es Salaam tarehe 11.3.2015.
2
Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano wa Kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano huo.
3
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA, Mama Salma Kikwete pamoja na viongozi kwenye meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano.
5
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikabidhi tuzo Maalum kwa Bwana Maximillan Lugina, iliyotolewa na wajumbe wa mkutano wa “Lugina Africa Midwives Research Network” kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa mtandao huo marehemu Profesa Helen Lugina ambaye ni mkewe. Profesa Helen alikuwa ni Muuguzi kutoka Tanzania aliyeasisi mkutano wa kwanza wa mtandao huo hapa nchini mwaka 1992.
8
Wawakilishi mbalimbali kutoka nchi za Africa wanaohudhuria mkutano wa kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” wakimzawadia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete mgolole mara baada ya kufungua rasmi mkutano huo huko Kunduchi Beach Hotel tarehe 11.3.2015.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...