Skip to main content

Fastjet yafadhili ziara ya waandishi wa habari wa Tanzania nchini Zimbabwe

IMG_2835
Pichani ni Mhudumu wa Mapango ya  Chinhoyi Cephas Sithole akitoa maelezo kwa timu ya waandishi wa habari waliombatana na wadau wa utalii kutoka nchini Afrika Kusini kwenye ziara hiyo ya kutembelea vivutio vya utalii nchini Zimbabwe katika mapango Chinhoyi.(Picha zote na Zainul Mzige).
Na Modewjiblog team, Harare
Waandishi wa habari kutoka vyombo 5 vya habari vya magazeti ya Tanzania ikiwemo mtandao wa habari wa modewjiblog ambao ni Justin Damiana (The African), Frank Aman (The Guardian), Zainul Mzige (modewjiblog), Mariam Said (Daily News) pamoja na Timothy Kitundu (East Africa Business Week) walipata mwaliko kutoka Mamlaka ya Utalii ya Zimbabwe (ZTA) kufanya utalii katika mapango ya Chinhoyi, Ziwa Kariba, Shamba la ufagaji wa Mamba, Hifadhi ya Taifa ya Kariba, Bandari ya Zambezi pamoja na ukuta wa bwawa la Kariba unaotengenisha nchi ya Zambia na Zimbabwe.
Safari ya kuelekea nchini Zimbabwe ilidhaminiwa na Shirika la usafiri wa Anga wenye gharama nafuu Fastjet Tanzania ikiwa ni moja ya mipango yao ya kuimarisha safari zake za kutoka Dar es Salaam-Lusaka na Harare.
Safari hiyo ilikuwa maalum kwa ajili kuhudhuria maonyesho ya naneya  Kimataifa ya Utalii Sanganai/Hlanganani–(World Tourism Expo) ambayo yameanza kurindima jijini Harare katika ukumbi wa Harare International Conference Centre (HICC).
IMG_2873
Mungoza watalii katika mapango ya Chinhoyi katika mkoa wa Chinhoyi nchini Zimbabwe, Aleck Makumire akitoa maelezo wa timu ya waandishi wa habari kabla ya kushuka kwenye mapango hayo wakati wa ziara maalum ya kutembelea vivutio vya Utalii nchini humo.
IMG_2896
Mungoza watalii katika mapango ya Chinhoyi katika mkoa wa Chinhoyi nchini Zimbabwe, Aleck Makumire akiwa ndani ya mapango ya Chinhoyi akitoa maelezo kwa waandishi wa habari wa Tanzania katika ziara yao ya kutembelea vivutio vya utalii nchini humo.
IMG_2921
Waandishi wa habari kutoka Tanzania waliosafirishwa na Shirika la ndege lenye gharama nafuu nchini Fastjet kuhudhuria maonyesho ya Kimataifa ya Utalii ya Shanganai yanayoendelea nchini Zimbabwe. Kutoka kushoto ni Timothy Kitundu (East Africa Business Week), Mariam Said (Daily News) pamoja na Justin Damiana (The African) wakiwa wameketi kwenye mapango ya Chinhoyi huku wakibadilishana mawazo na wadau wa utalii kutoka Afrika Kusini.
IMG_2933
Wakirejea kutoka kwenye mapango hayo ambayo chini yana maji ambayo hayatembei wala kukauka. (pichani kwa chini yakionekana kuwa na rangi ya bluu lakini ukichota ni meupe).
IMG_2943
Mwandishi wa habari Timothy Kitundu (East Africa Business Week) akitoka kudhuru mapango hayo wakati wa ziara ya kutembelea vivutio vya utalii.
IMG_2951
Rumbidzai Mudzengerere wa Mamlaka ya Utalii ya Zimbabwe (ZTA) akifurahia ukodak wa kamre ya modewjiblog akitokea ndani ya mapango ya Chinhoyi. Kulia ni Mwambata wa Waziri wa Utalii anayehusika na masuala ya uhamiaji kwa Afrika nchini Zimbabwe, Sherry Sibanda.
IMG_2956
Picha ya pamoja na wenyeji wetu.
IMG_3052
Ziara ya waandishi kutembelea kanisa la Mtakatifu Barbara.
This delightful little round church situated above Kariba town on the hill known as Kariba Heights, was built by workers and engineers employed by Impresit, the Italian company contracted to build the Kariba dam wall.  The church is dedicated to St Barbara, who is the patron saint of engineers/construction workers. 
On the outside walls of the church is a dedication in Latin to the memory of the construction workers killed during the building of Kariba Dam and a plaque with the names of those who lost their lives is found inside. The church has beautiful stained glass windows and an open-air design which is perfectly suited to the hot climate of Kariba. A bell tower at the back of the church still contains the original bell constructed by hand by Italian workers at the time and hoisted into place with a crane. 
Read the detailed story about the church bell of Santa Barbara at this link:  The Bell of Santa Barbara Church: A Modern Legend in the Making
IMG_3086
Picha ya kumbukumbu nje ya kanisa hilo.
IMG_3102
Kulia ni Meneja mwendeshaji wa mtandao wa habari wa modewjiblog, Zainul Mzige akiwa ameambatana na waandishi wenzake kwenye ziara hiyo.
IMG_3115
Sehemu ya muonekano wa Ziwa Kariba kwa juu zinapopaki boti za utalii za watu binafsi na makampuni.
IMG_3151
Kutoka kushoto ni Timothy Kitundu, Mariam Said na Justin Damian wakipata ukodak wakati wa ziara hiyo ya Kariba.
IMG_3179
Muonekano wa Ziwa Kariba.
IMG_3186
Muonekano wa ukuta wa bwawa la Kariba unaotengenisha nchi ya Zambia na Zimbabwe.
IMG_3192
Meneja mwendeshaji wa mtandao wa habari wa modewjiblog, Zainul Mzige akitazama ukingo wa ukuta huo wakati wa ziara ya Kariba nchini Zimbabwe.
IMG_3249
Mkurugenzi Mtendaji wa Going Places Tours & Travel ya Zambia, Rachel Ward akipozi na Mwambata wa Waziri wa Utalii anayehusika na masuala ya uhamiaji kwa Afrika nchini Zimbabwe, Sherry Sibanda kwenye meli kubwa ya kitalii inayotumika kutembeza watalii ambayo inalaza zaidi ya watu 50 huku ikiwa na sehemu ya ukumbi wa burudani na wakati mwingine hukodiwa kama ukumbi wa harusi ndani ya maji pamoja na baadhi ya vyumba maalum kwa wanandoa wanaoenda mapumzikoni (Honey moon).
IMG_3327
Sherry Sibanda na Captain wa muda Zainul Mzige wakipata ukodak ndani ya meli hiyo.
IMG_3329
Captain wa muda Frank Aman akipozi kwa ukodak.
IMG_3332
Captain wa muda Timothy Kitundu ndani ya meli.
IMG_3339
Muonekano wa Meli hiyo.
IMG_3407
Usalama Kwanza: Mariam Said (Daily News) akivaa boya kabla ya kuanza safari ya kuzunguka ziwa Kariba na kulia ni Victoria Siphiwe Mamvura Gava akisaidiwa kuvaa boya na Nahodha ya boti hiyo.
IMG_3430
Kutoka kushoto ni Victoria Siphiwe Mamvura Gava, Cherry Sibanda na Mariam Said wakiwa wamepumzika huku wakipitia baadhi ya vipeperusha vya boti za kitalii zinazokodishwa kwa ajili ya kupumzika katika ziwa la Kariba.
IMG_3465
Kundi jingine likiwa kwenye ziara ya ziwa Kariba likiongozwa na Rumbidzai Mudzengerere wa Mamlaka ya Utalii ya Zimbabwe (ZTA).
IMG_3497
Kituo cha mafuta katika Bandari ya Marine Land kikiwa ndani ya Ziwa Kariba.
IMG_3586
IMG_3637
Viboko ndani ya Ziwa Kariba.
IMG_3650
Wanahabri wakirejea baada ya ziara ya kuzunguka Ziwa Kariba.
IMG_3730
Baadhi ya Mamba wakiwa mapumziko ndani ya shamba hilo.
IMG_3741
Mmoja wa Mamba akiwa ametega Nzi wajae ndani ya mdomo wake.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog