Skip to main content

Kikosi cha Azam FC kimethibitisha kuwapokea hawa watatu toka nje ya TZ..

Lukong
Golikipa Nelson Lukong Bongaman, jamaa anatokea Congo ila ni Raia wa Cameroon.
Ligi Kuu TZ bara inatarajiwa kuanza August 2015, Vikosi ya Timu za soka vimeendelea kujipanga na kuimarisha Vikosi vyao ili mambo yaende sawa msimu huu watoke na ushindi, Azam FC wamethibitisha kwamba safari hawako tayari kuukosa pia.
Azam FC jana ilithibitisha kuanza kuwapokea  wachezaji wa kigeni wanaotarajia kujiunga nao na kufanya majaribio na klabu hiyo, kwenye taarifa ya Klabu hiyo imeonesha jana usiku walitarajia kumpokea golikipa ambaye ni raia wa Cameroon, Nelson Lukong Bongaman ambaye alikuwa anachezea timu za Congo DRC.
DSC_0699-af709
Jean Mugiraneza Babtiste
Klabu hiyo ilitarajia pia kumpokea staa mwingine mida ya saa 2 asubuhi ambae ni raia wa Uingereza, Ryan Burge.
Nyota mwingine waliyemtaja kuwa watampokea ni mchezaji kutoka Klabu ya APR ya Rwanda, Jean Mugiraneza Babtiste.
azam+bus
Kikosi cha Azam FC kimeelekea Tanga kwa ajili ya maandalizi ya kukipiga na Klabu yaAfrican Sport kwenye mchezo wao wa kirafiki siku ya Jumamosi katika Uwanja wa CCM Mkwakwani na Jumapili watakuwa na mchezo na Klabu ya Coast Union.

Comments

Popular posts from this blog

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............