Skip to main content

Madam Rita na BSS 2015, Joh makini na matapeli wa mitandao, Madee kaamua kuacha muziki?

local
Jana Madam Rita alipiga stori na kipindi cha XXL na kusema mashindani ya BSS yatakua yakifanyika kikanda na kila Mkoa watachukua watu watano kama awali lakini pia inategemea kama hakuna anayewafaa kwenye Mkoa husika wanaondoka na kwenda Mkoa mwingine.
Pia amezungumzia kituko ambacho hatakisahau katika maisha yake kwenye mashindano ya BSS ni kijana mmoja ambaye alienda jukwaani akiwa ameweka vinyonga tumboni kisha akawatoa na kuwaweka mdomoni…amesema hawezi kusahau.
madam
Madam Rita
Kingine ni kutoka kwa Joh Makini ambaye baada ya mashabiki wake kudai kutapeliwa hela walizotaka kununua Tshirt za weusi, mwenyewe amesema amesikitishwa na kitendo hicho lakini anashukuru ni mmoja ambaye aliweza kutuma pesa za oda ya Tshirt na kuahidi kumrudishia huku akiwataka watu kuwa makini na akaunti feki ambazo hutumiwa na matepeli kuwaibia.
makin
Joh Makini
Madee naye amesikika akisema anafikiria kupumzika kwenye game muda si mrefu, amekaa kwenye muziki zaidi ya miaka 15 na anaamini hakuna kisichojulikana kupitia yeye kwenye muziki… atatangaza rasmi ni lini na tarehe ngapi ataacha muziki.
made
Madee
Anasema ameona ni vyema kuwapa nafasi wasanii wengine wanaochipukia kwenye muziki kuweza kujulikana na kupata nafasi.
Wasikilize hapa wote mtu wangu…

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...