Skip to main content

Madam Rita na BSS 2015, Joh makini na matapeli wa mitandao, Madee kaamua kuacha muziki?

local
Jana Madam Rita alipiga stori na kipindi cha XXL na kusema mashindani ya BSS yatakua yakifanyika kikanda na kila Mkoa watachukua watu watano kama awali lakini pia inategemea kama hakuna anayewafaa kwenye Mkoa husika wanaondoka na kwenda Mkoa mwingine.
Pia amezungumzia kituko ambacho hatakisahau katika maisha yake kwenye mashindano ya BSS ni kijana mmoja ambaye alienda jukwaani akiwa ameweka vinyonga tumboni kisha akawatoa na kuwaweka mdomoni…amesema hawezi kusahau.
madam
Madam Rita
Kingine ni kutoka kwa Joh Makini ambaye baada ya mashabiki wake kudai kutapeliwa hela walizotaka kununua Tshirt za weusi, mwenyewe amesema amesikitishwa na kitendo hicho lakini anashukuru ni mmoja ambaye aliweza kutuma pesa za oda ya Tshirt na kuahidi kumrudishia huku akiwataka watu kuwa makini na akaunti feki ambazo hutumiwa na matepeli kuwaibia.
makin
Joh Makini
Madee naye amesikika akisema anafikiria kupumzika kwenye game muda si mrefu, amekaa kwenye muziki zaidi ya miaka 15 na anaamini hakuna kisichojulikana kupitia yeye kwenye muziki… atatangaza rasmi ni lini na tarehe ngapi ataacha muziki.
made
Madee
Anasema ameona ni vyema kuwapa nafasi wasanii wengine wanaochipukia kwenye muziki kuweza kujulikana na kupata nafasi.
Wasikilize hapa wote mtu wangu…

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b