Skip to main content

OKOA MAONO YAKO

kapernaum church

Jumapili, 5 Julai 2015


OKOA MAONO YAKO



- Maono ni taarifa inayokuja kwa mtu katika hali ya ukamilifu.



- Maono ya wakristo waamini walio wengi yamezama yaani yamepoteza mwelekeo, kwa sababu wakristo sana sana jamii ya waaminio hawaweki bidii ya kuishi maisha ya ukweli. 

- kila mwanadamu mwenye mwili Mungu amempa kipawa yaani karama, katika hili kinacho leta shida ni wakristo kutokuweka bidii ya kuchochea karama zao, mara nyingi jambo hili husababisha kina cha maarifa ya rohoni kujifunga na hapo huwa ndio mwanzo wa Maono ya mkristo kuzimika.

- ( Kinacho linda Maono ya mkristo ni bidii aliyonayo katika kujifunza Neno la Mungu ) 

- Mkristo anaye mcha Mungu katika hali ya maono mara nyingi safari yake huwa salama kwa sababu maono ni mwongozo sahihi katika maisha ya mtu anaye mwamini Mungu.

- ( Kanisa linahitaji maono ili Liwe salama )

- Ili niweze kuyafikia maono yangu inatakiwa nipingane na mambo yafuatayo katika maisha yangu:-
  i).Nisiruhusu moyo Wangu kubeba hila
  Ii).Wivu 
  iii).Chuki 
  iv).Tamaa ya mwili
  v).Tamaa ya mali
- Haya mambo 5 ndiyo yanayo gharimu kwa sehemu kubwa kudidimiza maono ya wakristo walio wengi.
Waefeso 4: 17- 32

- (Moyo wa mkristo ukifa ganzi, hapo ndipo anguko la mkristo linapoanzia,na ganzi katika moyo wa mkristo Huja katika mazingira haya,huja katika mazingira ya roho ya kiburi)

- Roho ya kiburi ikisha uvalisha moyo wa mwamini ganzi mwamini huyo atakumbwa na mambo yafuatayo :-
 1.Hawezi kukubali ushauri wa mtu yeyote, maana yake kila kitu anajua.
 2.Hata angeshirikishwa zuri namna gani kwake halina maana, hapo ndipo (hila) ilipo.

- Kanuni ya Mungu jinsi ilivyo huvitumia vitu vilivyo dharaulika kuonya ndio maana wazimu wa balaamu ulitulizwa kwa kinywa cha punda.

- ( Maono ya mkristo yanalindwa na hekima itokayo ndani ya Neno la Mungu )

- Maono ndio njia sahihi ya kuliongoza kanisa katika ukweli, ndio maana shetani hupambana sana na makanisa yenye maono ili ayabomoe.

- Inatakiwa niyalinde maono niliyo nayo kwa gharama yoyote kwa sababu kama nikizembea maono niliyo nayo yakazimwa huwa hayajirejei tena.

- Suala la kuokoa maono yangu ni jukumu langu mimi binafsi kwa sababu mimi ndiye ninaye tambua uthamani wa maono niliyo nayo.

- Ili niweze kuyatunza maono niliyo nayo inatakiwa nidumu katika sheria ya Bwana, jambo hili hata Mithali imelisema. Mithali 3:1-2

MAMBO YA KUFANYA ILI NIDUMU KATIKA MAONO
-Jambo la kwanza litakalo nisaidia mimi kama mwamini ili niweze kuyalinda maono yangu ni kuruhusu moyo wangu kukubaliana kuendana na maisha yaliyo andikwa ndani ya Biblia.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog