Skip to main content

Tazama Picha kutoka Mahakama ya Kisutu wakati inasomwa hukumu ya Mawaziri wa zamani, Daniel Yona na Basil Mramba

Screen Shot 2015-07-06 at 4.24.26 PM

Kesi iliyokuwa inawakabili Basil Mramba, Daniel Yona na Agrey Mgonja kuhusu matumizi mabaya ya madaraka imetolewa hukumu leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam.
Daniel Yona na Basil Mramba wamehukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya Milioni tano kila mmoja baada ya kukutwa na hatia ya makosa 11, Grey Mgonjaameachiwa huru baada ya kukutwa hana hatia.
Screen Shot 2015-07-06 at 4.23.50 PM
Basil MrambaDaniel Yona na Grey Mgonja wakiwa nje ya mahakama ya Kisutu kusubiri kuingia ndani
Screen Shot 2015-07-06 at 4.23.59 PM
Screen Shot 2015-07-06 at 4.24.06 PM
Familia ya Daniel Yona na Basil Mramba wakiingia Mahakamani
Screen Shot 2015-07-06 at 4.24.16 PM
Screen Shot 2015-07-06 at 4.24.35 PM
Daniel Yona akiagana na rafiki zake
Screen Shot 2015-07-06 at 4.24.45 PM
Screen Shot 2015-07-06 at 4.24.53 PM
Screen Shot 2015-07-06 at 4.25.03 PM
Basil Mramba akiingia ndani ya Gari ya Polisi kuelekea gerezani.
Screen Shot 2015-07-06 at 4.25.14 PM
Daniel Yona akiingia ndani ya gari ya Polisi kuelekea Gerezani.
Screen Shot 2015-07-06 at 4.25.23 PM
Screen Shot 2015-07-06 at 4.25.31 PM
Screen Shot 2015-07-06 at 4.25.42 PM
Screen Shot 2015-07-06 at 4.25.50 PM
Gari ya polisi iliyobeba watuhumiwa ikitoka nje ya Mahakama ya Kisutu.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...