Skip to main content

71 Watiwa Mbaroni Kwa Tuhuma za Uhalifu


JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limesema limewakamata watu 71, silaha nne na dawa za kulevya katika oparesheni ya.......... mwishoni mwa mwaka. 

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamishna wa Polisi Kanda hiyo, Suleiman Kova alisema Desemba 24 mwaka huu, maeneo ya Ubungo Kibo, Kinondoni, Polisi walipata taarifa kutoka kwa mwananchi ambapo walifanikiwa kumkamata mfanyabiashara, Peter Massawe (25).

Kova alisema Massawe ni mfanyabiashara wa duka la nguo na mkazi wa Ubungo Rombo alikutwa na bastola aina ya Taurus, yenye namba 801340 iliyotengenezwa nchini Brazil ikiwa na risasi mbili na maganda ya risasi matatu.

Kwa mujibu wa Kova, mtuhumiwa alipohojiwa alidai kuwa silaha hiyo ililetwa na Ismail Mcharo (29), dereva wa bodaboda, mkazi wa Kimara Kilungule kwa ajili ya hifadhi baada ya kuitumia katika tukio la uporaji lililotokea maeneo ya Selander Bridge.

Pia alisema watuhumiwa wengine waliokamatwa ni Matola Rashid (30) muuza mkaa na mkazi wa Kimara Baruti na Fitina Ramadhan (43) mkazi wa Magomeni. 

‘’Mahojiano hayo pia yalisaidia kupatikana kwa silaha nyingine ambazo ni shotgun mbili, bastola moja, pikipiki tatu na simu mbili za mkononi,’’alisema Kova.

Alisema watuhumiwa wanahojiwa na kwamba upelelezi wa shauri hilo utakapokamilika jalada la kesi litapelekwa kwa mwanasheria wa serikali ili sheria ichukue mkondo wake.

 Alifafanua kuwa jeshi hilo linaendelea kukabiliana na athari za dawa za kulevya ambapo jumla ya watuhumiwa 68 ambao ni wasambazaji wa dawa hizo, walikamatwa.

Aidha, wamekamata magunia manne ya bangi, kete 236 na misokoto 174, mtambo wa kutengenezea gongo pamoja na lita 50 za pombe haramu ya gongo.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...