Skip to main content

71 Watiwa Mbaroni Kwa Tuhuma za Uhalifu


JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limesema limewakamata watu 71, silaha nne na dawa za kulevya katika oparesheni ya.......... mwishoni mwa mwaka. 

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamishna wa Polisi Kanda hiyo, Suleiman Kova alisema Desemba 24 mwaka huu, maeneo ya Ubungo Kibo, Kinondoni, Polisi walipata taarifa kutoka kwa mwananchi ambapo walifanikiwa kumkamata mfanyabiashara, Peter Massawe (25).

Kova alisema Massawe ni mfanyabiashara wa duka la nguo na mkazi wa Ubungo Rombo alikutwa na bastola aina ya Taurus, yenye namba 801340 iliyotengenezwa nchini Brazil ikiwa na risasi mbili na maganda ya risasi matatu.

Kwa mujibu wa Kova, mtuhumiwa alipohojiwa alidai kuwa silaha hiyo ililetwa na Ismail Mcharo (29), dereva wa bodaboda, mkazi wa Kimara Kilungule kwa ajili ya hifadhi baada ya kuitumia katika tukio la uporaji lililotokea maeneo ya Selander Bridge.

Pia alisema watuhumiwa wengine waliokamatwa ni Matola Rashid (30) muuza mkaa na mkazi wa Kimara Baruti na Fitina Ramadhan (43) mkazi wa Magomeni. 

‘’Mahojiano hayo pia yalisaidia kupatikana kwa silaha nyingine ambazo ni shotgun mbili, bastola moja, pikipiki tatu na simu mbili za mkononi,’’alisema Kova.

Alisema watuhumiwa wanahojiwa na kwamba upelelezi wa shauri hilo utakapokamilika jalada la kesi litapelekwa kwa mwanasheria wa serikali ili sheria ichukue mkondo wake.

 Alifafanua kuwa jeshi hilo linaendelea kukabiliana na athari za dawa za kulevya ambapo jumla ya watuhumiwa 68 ambao ni wasambazaji wa dawa hizo, walikamatwa.

Aidha, wamekamata magunia manne ya bangi, kete 236 na misokoto 174, mtambo wa kutengenezea gongo pamoja na lita 50 za pombe haramu ya gongo.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog