Skip to main content

Ajira za makatibu wakuu ziko salama- Ikulu


Uamuzi wa Rais John Magufuli kuunganisha wizara kutoka 30 hadi kuwa 18 na idadi ndogo ya mawaziri, hautasababisha kupunguzwa kwa watumishi, hasa makatibu wakuu, Ikulu imeeleza.

Juzi, Rais Magufuli alitangaza kuunganisha wizara na kuunda Baraza la Mawaziri lenye wizara 18 kutoka 30 za Serikali ya Awamu ya Nne, uamuzi ambao umeibua hofu kwa baadhi ya watumishi kuwa panga hilo linaweza kuwakumba makatibu wa wizara zilizopunguzwa.

Jana, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alieleza kuwa Serikali itafanya mgawanyo mpya wa majukumu kwa watumishi wote na suala la kuwapunguza kazi halifikiriwi kwa sasa.

Balozi Sefue alisema fedha zilizotengwa kwenye bajeti ya mwaka 2015/16, zitapelekwa kwenye kila wizara husika, hata kama itakuwa imeungwanishwa na nyingine na kuunda wizara moja.

Katika mabadiliko na uundaji wa baraza hilo, Dk Magufuli ameunganisha baadhi ya wizara, huku akizihamisha baadhi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu na kuzipeleka Ofisi ya Rais na nyingine kuziondoa kwenye kujitegemea na kuziingiza Ofisi ya Waziri Mkuu.

Kwa hatua hiyo, watumishi wa wizara kati ya mbili hadi tatu watajikuta wakiwa katika wizara moja pamoja na waliokuwa makatibu wakuu wa wizara hizo, jambo litakaloongeza idadi ya watumishi na baadhi yao huenda wakajikuta wakifanya kazi zinazofanana au kukosa kitu cha kufanya.

“Baada ya baraza kuundwa lazima kutakuwa na realignment ya watumishi (kuunganisha upya shughuli zinazoshabihiana). Kuna mambo mengi, hata ofisi inabidi tuzipange upya. Hiyo ipo wazi kwa watumishi, sidhani kama kuna ulazima wa kupunguza idadi yao zaidi ya kuwapangia majukumu mengine,” alisema Sefue.

Alisema mtumishi wa umma hajaumbwa kuwa mtumishi wa wizara moja tu maisha yake yote.

“Kwa hiyo, tutatazama kama wanaweza kuwa redeployed (kupangwa upya) vipi. Wale ambao hawatahitajika kwa ukubwa wa baraza la mawaziri lililopo, tutaona wanaweza kutumika vizuri zaidi sehemu gani,” alisema.

Alipoulizwa kama kuna utaratibu wowote wa kupunguza wafanyakazi alisema: “Hatupunguzi, labda tuone mtu hahitajiki kabisa. Lakini, kwa wakati huu hatuna msingi wa kusema kuna watu hatutawahitaji. Baada ya mawaziri kuapishwa na kuanza kazi tutaanza suala hili.”

Kuhusu makatibu wakuu wa wizara ambazo zimeunganishwa na kuwa wizara moja, Balozi Sefue alisema: “Nao ni hivyo hivyo. Bado kuna mambo mengi ambayo wanaweza kupewa na wakafanya vizuri tu, wakati wa uamuzi huo bado haujafika ila kwa sasa hatufikirii kuwapunguza.”

Kuhusu mpangilio wa majukumu yao, Balozi Sefue alisema: “Ngoja uundwaji wa baraza ukamilike tuone wapi watahitajika na hao ambao watabaki tuwafanye nini. Uamuzi huo utafanyika baadaye.”

Akizungumzia mgawanyo wa fedha za bajeti za wizara ambazo kwa sasa zimeunganishwa na kuwa wizara moja, katibu huyo mkuu kiongozi alisema bajeti ya Serikali ni kwa vitu maalumu, kwa hiyo kama kulikuwa na bajeti ya Wizara ya Afrika Mashariki ambayo katika bajeti walikuwa na kazi inayohusu eneo hilo, fedha ya bajeti hiyo itakwenda inakohitajika kwa ajili ya kufanya kazi iliyokusudiwa licha ya wizara hiyo kuunganishwa.

“Yaani, fedha hiyo itakwenda katika wizara mpya (iliyounganishwa na nyingine), bajeti nayo itakwenda huko sanjari na wafanyakazi ambao nao watakuwa katika wizara hiyo hiyo. Kwa maana hiyo, bajeti hiyo itatumika kama kawaida,” alisema.

Rais Magufuli alisema wakati akitangaza baraza lake la mawaziri kuwa ameamua kuwa na wizara chache ili kuepuka matumizi makubwa ya fedha za Serikali.

Kutokana na uamuzi huo, wizara zilizounganishwa ni ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Utumishi na Utawala Bora, imeunganisha shughuli za Tamisemi zilizokuwa Ofisi ya Waziri Mkuu. Awali, Ofisi ya Rais ilikuwa na waziri watatu; Utawala Bora, Mahusiano na Uratibu na Menejimenti ya Utumishi wa Umma.

Nyingine ni Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira ambazo zilikuwa mbili tofauti, chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais.

Katika Ofisi ya Waziri Mkuu, ipo Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu. Awali, Wizara ya Kazi, Vijana na Ajira ilikuwa inajitegemea, wakati ya walemavu ni mpya.

Mabadiliko hayo yamepunguza idadi ya wizara zilizokuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu ambazo ni Sera, Uratibu na Bunge, Uwekezaji na Uwezeshaji na Tamisemi, zikiwa na mawaziri watatu na manaibu wawili.

Nyingine ni Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ambazo awali kila moja ilijitegemea.

Wizara ya Fedha sasa imeongezewa Mipango na sasa itaitwa Wizara ya Fedha na Mipango. Pia, Wizara ya Viwanda na Biashara imeongezewa Uwekezaji. Suala la masoko limeondolewa wakati Uwekezaji ilikuwa pamoja na uwezeshaji.

Kutakuwapo pia na Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa ambayo imeunganisha wizara mbili; Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na ile ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Nyingine ni Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, ambayo imechukua majukumu ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na ile ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ni matokeo ya kuunganisha Afya na Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.
SOURCE:
Mpekuzi blog

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog