Skip to main content

kama ukupata kufahamu baraza jipya la mawazirii.......HILI HAPA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI WA WIZARA ZOTE 18 NA MAJINA YAO !!!!!!.


 

Habari wakuu

Magufuli: Tutakuwa na mawaziri 19, kuna baadhi ya wizara zitakuwa na mawaziri na hazitakuwa na manaibu waziri. Lengo ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama. Zilitengwa bilioni 2, mawaziri watakapoteuliwa waende semina elezi, baraza nitakaloliteua halitakuwa na semina elekezi na fedha tutaelekeza sehemu nyingine kama ni madawati au kwenye elimu bure.

WIZARA
Ofisi ya Rais, Tamesemi utumishi na utawala bora, Simbachawene na Kairuki, Naibu waziri Jaffo

Mazingira: Makamba, naibu Makamba

Ajira, walemavu: Jenista Mhagama, Naibu nimemtua mbunge, Pos Abdallah ambae ni mhadhiri Dodoma

Ulemavu: Mavunde

Kilimo, mifugo na uvuvi: Mwigulu Lameck Nchemba, Nashe naibu

Ujenzi, uchukuzi na mawasiliano: Waziri bado sijamtafuta, naendelea kumfikiria, Naibu waziri Ngonyani.

Fedha na mipango: Waziri bado, naibu Kijachi

Nishati na madini: Waziri ni Muhongo, Naibu

Katiba na sheria: Waziri Mwakyembe

Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki: Augustino Mahiga nmemteua mbunge na waziri, Naibu Dr Suzan

Ulinzi na kujenga taifa: Waaziri Dr. Hussein Mwinyi

Ardhi na maendeleo ya makazi: Waziri ni Wiliam Lukuvi, Naibu Angelina Mabula

Utalii: Waziri bado

Viwanda na biashara: Waziri Charles Mwijage

Sayansi na ufundi: Naibu ni Stella Manyanya

Afya na Ustawi wa jamii: Ummy Mwalimu, Naibu ni Kingwangala

Habari: Nape Nnauye

Wizara ya maji na umwagiliaji: Makame Mbarawa, Naibu ni Kamwene

Swali: Tatizo ni nini hasa kwa wizara ambazo hujateua?

Magufuli: Nilitegemea ungeniuliza kwanini sikuteua siko niliyoteuliwa, subira yavuta heri, hawa wameanza na wengine watafata

Umesema kukutakuwa na semina elekezi, utafanya nini waweze kwenda na kasi ya hapa kazi?

Niliyowachagua wote wana CCM na walinadi ya sera hapa kazi, spidi ni hiyo hiyo ndio maana hatutatumia semina elekezi ya bilioni mbili.

Manyerere Jackton: Kwa kupunguza baraza la mawaziri, serikali itakuwa imepunguza kiasi gani?

Magufuli: Wewe ndie utapiga hesabu, utanisaidia katika kupunguza baraza tutakuwa tumesevu kiasi gani na zile tulizosevu za gharama elekezi, kuchelewa kutangaza baraza na wale ambao sijawataja na bahati nzuri nyie waandishi mnaweza kupiga hesabu vizuri. Zipo nchi zina wizara 44, manaibu na mawaziri. Tutakapomaliza tutakuwa na baraza la watu 34.

Wasihangaike kufanya sherehe kwa sababu ni kazi ngumu, wakawafanyie kazi watanzania bila kuwabagua, mawaziri hili la wizara 15 tumejiridhisha linaweza kufanya kazi tunayowatarajia kuifanya. Ngoja tukimaliza uteuzi wote.

Uhai Production: Siku saba zimetimia, wafanyabiashara wamesharesha zile hela?

Magufuli: Swali hilo jibu analo kamishna wa kodi TRA

Swali: Katika baraza, kuna mawaziri wa baraza lililopita, ulizangatia nini wakati wa uteuzi?

Jibu: Kafanye hesabu vizuri, waliorudi ni saba?

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog