Skip to main content

Madiwani wa CUF Kufikishwa Mahakamani Kwa Kufanya Vurugu

Madiwani kumi wa Chama Cha wananchi (CUF) waliodaiwa kufanya vurugu katika uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya jiji la Tanga wanatarajiwa kufikishwa mahakamani.

Hayo yalisemwa jana na Kamanda wa Polisi wa Tanga, Zubery Mwombeji alipokuwa akizungumza na.................
waandishi wa habari kuhusu tukio la vurugu zilizotokana na madiwani wa CUF kupinga matokeo ya uchauguzi huo.

Kamanda Mwombeji alisema kuwa madiwani hao walikamatwa na kupelekwa katika kituo cha Polisi cha Chumbageni na baadaye waliachiwa kwa dhamana majira ya saa sita usiku.

Alisema kuwa madiwani hao walikamatwa kwa tuhuma za kufanya vurugu na kuchoma pazia na kujaribu kuvunja mlango wa ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri hiyo.

Madiwani wa CUF wanadaiwa kufanya vurugu katika ukumbi wa halmashauri ya jiji hilo uliotumika kupigia kura baada ya Mkurugenzi wa jiji hilo kumtangaza diwani wa CCM, Mohamed Mustafa kuwa mshindi kwa kupata kura 19 dhidi ya mgombea wa CUF aliyepata kura 18.

CUF walipinga matokeo hayo na kudai kuwa walihujumiwa na kuporwa ushindi hususan kwa kuwa wana idadi ya madiwani 20 dhidi ya madiwani 17 wa CCM.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog