Skip to main content

Majibu ya Diamond Platnumz >> kilichomtoa machozi? Kazi na Wema? hakwenda kwa Zari Uganda.. (+Audio)

Staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz amerudi kwa uzito mkubwa kwenye headlines za muziki baada ya kuachia ngoma ya ‘Utanipenda’.
Baada ya kuachia video ya ngoma hiyo, leo................
December 21 2015 kaachia audio rasmi hewani kwenye show ya ‘Leo Tena‘ Clouds FM… kwenye stori zilizopigwa aliulizwa pia kuhusu sababu iliyofanya apost kipande cha video kilichomtoa machozi wakati mama yake anaigiza.
DIAMOND II
Ile stori ya video nimeandika mimi… wakati wanashoot nilikuwa nawaelekeza kwamba inabidi iweje… alivyoanza kuigiza nikajikuta nashindwa kuvumilia, nikahama. Hata yeye mwenyewe hisia zilimgusa, ukiangalia kwenye video utafikiri anataka kulia kweli, nilijisikia vibaya.. sijawahi kumuona mama yangu anaigiza… Wakati naangalia video kwa mara kwanza nilitokwa machozi, japo naona kama nimeizoea ila nikikaa pekeyangu naangalia, naona kama ni kweli hivi.‘>>> Diamond Platnumz.
DIAMOND VI
Kwenye video ya ‘Utanipenda‘, ameonekana pia mrembo Jackline Wolper, sababu yaWolper kuonekana ni hii hapa >>> Wolper tunaheshimiana, tuna uhusiano mzuri wa kikazi na kiundugu… katika mastaa wenye nguvu, Wolper lazima umtaje..
Diamond Platnumz na Jackline Wolper
Diamond Platnumz na Jackline Wolper
Kuna ukweli wowote kwamba nafasi ya Wolper ilikuwa acheze Wema Sepetu na akakataa? Majibu ni haya >>> ‘Sio kweli, sijawahi hata kuwaza hivyo… hapo katikati kulikuwa na stori kwamba mimi natumia nyota yake, kwa hiyo nisingeweza kumshirikisha katika kazi yangu yoyote hata kama ni biashara ambayo ingempa pesa, ingeonekana nimetumia nyota yake… Huwezi kuona kazi yangu au changu chochote kinahusiana naWema kabisa.. Mimi nina timu, natumia nguvu nyingi kuifanya kazi yangu, ikionekana unatumia nyota ya mtu ni kama unaitukanisha.’>>> Diamond Platnumz.
Diamond amesema alikuwa Uganda kwenye show yake ambayo ilifanya poa sana, lakini kwa sababu alikuwa na mkataba wa show yake, alijikuta akishindwa kuhudhuria show yaZari All White Party.
Sauti ya Interview yote hii hapa mtu wangu, Diamond Platnumz na stori zote kwenye ‘Leo Tena

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog