Skip to main content

Profesa Muhongo Azidi Kuibana TANESCO


Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) limeagizwa kuhakikisha hadi kufikia tarehe 3 Januari 2016 liwe................... limekamilisha kufunga umeme kwenye Jengo la Ofisi za Serikali la Mpakani  mwa Tanzania na Rwanda (One Stop Border post) lililopo eneo la Rusumo wilayani Ngara.

Agizo hilo limetolewa jana na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alipofanya ziara kwenye Mpaka wa Tanzania na Rwanda kwa ajili ya kukagua maendeleo ya mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji wa Rusumo.

Akizungumza katika ziara hiyo, Afisa Mfawidhi wa Kituo cha Forodha cha Rusumo, Laurent Gabriel alisema umeme kwenye jengo hilo umekuwa ukikatika mara kwa mara na hivyo kusababisha usumbufu kwa wananchi wanaohitaji huduma kwenye Ofisi zilizopo katika jengo hilo.

Gabriel aliendelea kueleza kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakikabiliwa na matatizo ya kukatika mara kwa mara kwa umeme na pia kukosekana kwa huduma ya mtandao wa kununua umeme kutoka nchini Rwanda.

Aidha, Profesa Muhongo alizungumza na wananchi wanaoishi maeneo ya mpakani hapo na walimueleza kusikitishwa kwao kuona jengo hilo linatumia umeme kutoka nchi jirani ambao hata hivyo walisema umekuwa ukikatika mara kwa mara na hivyo kusababisha shughuli nyingi za Serikali kukwama.

Baada ya kuelezwa taarifa hiyo, Profesa Muhongo alisema jambo hilo halikubaliki kwani tayari umeme wa Tanesco umefika kwenye eneo hilo hivyo aliiagiza TANESCO kuharakisha uunganishaji wa huduma ya umeme kwenye jengo hilo.

“Haileti maana kutumia umeme kutoka nchini Rwanda wakati Tanesco wanao umeme ambao tayari umefika mpakani hapa. TANESCO hakikisheni kufikia Jumapili ijayo (tarehe 3 Januari, 2016) jengo hili liwe limeunganishwa na umeme,” aliagiza.

Waziri Muhongo alimuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ngara, Honorata Chitanda kufuatilia suala hilo kwa ukaribu ili kufikia tarehe hiyo umeme uwe umefungwa kwenye jengo hilo.

Ziara hiyo ya Profesa Muhongo ni muendelezo wa ziara za kugagua mitambo na miundombinu ya umeme nchini ambapo kwa sasa yupo Mkoani Kagera na huku akiwa amekamilisha kutembelea miradi ya umeme iliyopo maeneo ya Mikoa ya Kusini, Kaskazini, Kati na Kanda ya Ziwa.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog