Skip to main content

Serikali Yaelekeza Uendeshaji wa Sekondari Zake za Bweni


SERIKALI inatarajiwa kutoa utaratibu wa namna wanafunzi wa shule za Serikali za mabweni, watakavyosoma huku ikionya wakuu wa shule watakaodai ada au michango ya aina yoyote, kwamba watachukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa kazi.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini amesema hayo jana wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Kitaifa wa mwaka wa wadau wa Camfed unaofanyika mjini hapa.

Katika hotuba yake iliyosomwa na Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa Elimu, Benard Makali, Sagini alisema kuanzia Januari 2016, elimu nchini katika shule za msingi na sekondari itatolewa bure.

Alisema shule zenye hosteli kisheria, usajili wake ni shule za kutwa na zitapewa utaratibu wake katika uendeshaji na Serikali itakaa na kutoa maelekezo sahihi ili wazazi wasaidie kuchangia chakula.

Amesema Serikali itakaa na kutoa maelekezo sahihi, ili wazazi wasaidie mipango mizuri ya halmashauri. 
 
“Chakula si pesa kama wazazi watakubaliana kuchangia chakula wakati wa mavuno hiyo itakuwa sawa lakini serikali itatoa maelekezo,” alisema.

Alisema kila halmashauri inaweza kuwa na utaratibu wake juu ya suala hilo. Alisema shule hizo wanafunzi wake hawatalipa ada wala michango yoyote lakini wazazi watalazimika kuwanunulia wanafunzi sare, madaftari na usafiri wa kuwapeleka na kuwarudisha nyumbani wakati wa likizo.

Makali alisema awali wanafunzi walikuwa wakilipa ada ya Sh 70,000 kwa mwaka lakini hawatalipa tena ada wala michango yoyote. 
 
“Taratibu zimeshafanywa na shule zitafunguliwa kwa wakati na hakuna mwanafunzi atakayelipa ada au mchango wa aina yoyote” alisema.

Alipohojiwa ni kwa jinsi gani huduma katika shule za bweni zitaboreshwa ikiwemo kuwalipa wapishi na walinzi ambao kwenye maeneo mengi hawajaajiriwa na serikali, Mkurugenzi huyo alisema masuala yote yatatolewa ufafanuzi. 
 
Akizungumzia tatizo la utoro limekuwa likirudisha nyuma maendeleo ya watoto wengi.

“Ukimuuliza Ofisa Wilaya anasema mwamko mdogo wa wazazi, hivi hao wazazi wanaowasingizia siku zote wako nchi nzima?" Alisema. Aliwataka maofisa elimu kufanya kazi zao na si kuwasingizia wazazi.
 
 “Tunapoteza watoto wengi, wanazurura tu sioni kwa nini suala hili linaendelea, mtoto asipoonekana shuleni mwalimu asikae kimya,”alisema.

Alisema sasa watachukua hatua kali kwa walimu atakaozembea suala la utoro kwa wanafunzi. Pia alilipongeza shirika hilo kwa kusomesha watoto wa kike walio katika mazingira magumu na kuwa serikali itaunga mkono juhudi hizo. 
 
Awali, Mkurugenzi wa Camfed Tanzania, Lydia Wilbard alisema watoto 48,373 wameweza kufikiwa na shirika hilo.

Aidha shule 120 zimefikiwa kwa kuboresha mazingira ya shule. Akichangia katika mkutano huo Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kilolo iliyopo mkoani Iringa, Seraphina Chodota alisema tafsiri ambayo wananchi wamepata kila kitu kitakuwa gharama ya serikali

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog